Serikali iwalipe watu wanaotoa elimu kupitia mitandao ya kijamii

Serikali iwalipe watu wanaotoa elimu kupitia mitandao ya kijamii

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
18,585
Reaction score
16,780
Mitandao ya kijamii inashiriki sana kuelimisha umma wa Watanzania kwa namna mbalimbali kuanzi hapa Jamiiforums, Twitter n.k

Nashauri serikali ianze mpango wakutoa Motisha kwa baadhi ya wanaoendesha hii mitandao wakiwemo kina Mexence Melo na wengine ili kuwatia moyo kwa kazi kubwa wanayofanya.

Hawa watu elimu wanayoitoa kwa umma ni kubwa sana.
Jana nilibahatika kuisikiliza kuanzia saa 2usiku hadi usiku wa manane!

Uchumi, Diplomasia na Mambo ya kisheria yanazungumzwa kwa upana mkubwa.

By the way hii nchi ina watu wenye nia na Uzalendo wa kweli.

Mawaziri, makatibu, wabunge walazimishwe kusikiliza hii mijadala.

Naomba kuwasilisha.
 
Kwa mfano siku ya jana Somo alilotoa Shangazi Catherine Ruge na Theo kuhusu report ya IMF.
Ni elimu ya gharama kubwa
 
Sasa kama huwezi kujibu swali dogo kama hilo unategemea nini?
 
Mitandao ya kijamii inashiriki sana kuelimisha umma wa Watanzania kwa namna mbalimbali kuanzi hapa Jamiiforums, Twitter n.k

Nashauri serikali ianze mpango wakutoa Motisha kwa baadhi ya wanaoendesha hii mitandao wakiwemo kina Mexence Melo na wengine ili kuwatia moyo kwa kazi kubwa wanayofanya.

Hawa watu elimu wanayoitoa kwa umma ni kubwa sana.
Jana nilibahatika kuisikiliza kuanzia saa 2usiku hadi usiku wa manane!

Uchumi, Diplomasia na Mambo ya kisheria yanazungumzwa kwa upana mkubwa.

By the way hii nchi ina watu wenye nia na Uzalendo wa kweli.

Mawaziri, makatibu, wabunge walazimishwe kusikiliza hii mijadala.

Naomba kuwasilisha.
Hawa wote wanaotoa hizo elimu serikali inawaona kama wapinzani wa mambo yake mengi.. Inaona kama inakosolewa hadharani na kama ujuavyo serikali nyingi hazipendi kukosolewa waziwazi hivyo ni ngumu kuwajali kwa chochote watu kama hao
 
Jambo binafsi/liko organized privately Serikali inahusikaje kulipa watu??
Navyojua fedha za umma zina bajeti na taratibu zake

Nafkr kikubwa ni uhuru uliopo wa wananchi kujadili lolote

Viongozi walazimishwe kusikiliza.,seriously?!!!!
How about waandaaji waalike viongozi wa kisekta kushiriki hio mijadala?
 
Serikali maana yake ni nini? Tuanzie hapo kwanza.
Serikali ni watu wachache wahuni wanaokusanya kodi zetu kisha wananunua V8, mishahara mikubwa na kupeleka watoto ulaya au Feza kwenda kusoma. Mfano ni hili fisadi la kinyiramba a.k.a mzee wa tozo hutaki hamia Burundi
2845551_IMG-20210716-WA0007.jpg
 
Hawa wote wanaotoa hizo elimu serikali inawaona kama wapinzani wa mambo yake mengi.. Inaona kama inakosolewa hadharani na kama ujuavyo serikali nyingi hazipendi kukosolewa waziwazi hivyo ni ngumu kuwajali kwa chochote watu kama hao
Jana nimesikiliza mambo mengi sana yanayohusiana na Muungano.
Ni mengi sana na hoja zilikuwa nzito sana.
 
Jambo binafsi/liko organized privately Serikali inahusikaje kulipa watu??
Navyojua fedha za umma zina bajeti na taratibu zake

Nafkr kikubwa ni uhuru uliopo wa wananchi kujadili lolote

Viongozi walazimishwe kusikiliza.,seriously?!!!!
How about waandaaji waalike viongozi wa kisekta kushiriki hio mijadala?
Kuna wabunge vichwa maji.
They know nothing about many things in this country! Si vibaya wakasikiliza na kupata maarifa.
Jana Shule ya Muungano ilikuwa sio ya kitoto.
 
Back
Top Bottom