Serikali iwalipe watumishi mishahara mpaka hapo watakapokuwa tayari kuwalipa pensheni na PSSSF ndio dawa

Serikali iwalipe watumishi mishahara mpaka hapo watakapokuwa tayari kuwalipa pensheni na PSSSF ndio dawa

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Kuna kitu hakiko sawa kwenye mifumo ya serikali, pamoja na bodi inayo shugulikia mikataba FCC kujidani na kuwashauri watu wasitoe mikataba ya unyonyaji na manyanyaso bado tunahitaji sheria zibadilishwe. Tarehe za kustaafu zikifika mtumishi aache kwenda kazini ila mshahara uendelee kulipwa ili PSSSF wanapokuwa tayari kulipa pensheni ndio mtumishi asitishiwe mshahara na aanze moja kwa moja na mshahara wa mstaafu vinginevyo ni uonevu. Wao wanataka wawaguse wengine ila wao wasiguswe. haki za bina damu na watumishi zizingatiwe.

Pensheni miezi 8 imeisha halafu mtu anasema mwezi wa 8 aliwalipa watu wengi sasa hayo majina ya wengine yako wapi mbona hayakulipwa. tuwe wakweli msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Serikali kwaninj haiweki majina mtandaoni tykaona nani kalipwa na nani bado
 
Hapo umeongea la maana sana sana, wao wanatudanganya tu mara oh tumelipa bilion 100 mwezi wa nne ni akina nani hao wakati wa miez ya nyuma ya huo wa 4 hawajalipwa. Ujue yule aliyekuwa anatudanganya kuwa MEKO yupo fiti anaendelea na shghuli hawezi kudhurura huku maskini wa Mungu yupo ICU ndio huyo huyo anaye tuaminisha maswala ya malipo mara bilIoni kadhaa tumeshalipa. Kuna tatizo mahala lazima tukubali tu. Pesa za miradi mikubwa zinapatikana ila za kulipa madeni ya pensheni na wadhabuni hazipatikani hapa lazima tuna danganyana sehem flani sisi tunachukuliwa kama watoto wadogo na ma zezeta tunakubali tu.
Serikali kwaninj haiweki majina mtandaoni tykaona nani kalipwa na nani bado
 
Kuna kitu hakiko sawa kwenye mifumo ya serikali, pamoja na bodi inayo shugulikia mikataba FCC kujidani na kuwashauri watu wasitoe mikataba ya unyonyaji na manyanyaso bado tunahitaji sheria zibadilishwe. Tarehe za kustaafu zikifika mtumishi aache kwenda kazini ila mshahara uendelee kulipwa ili PSSSF wanapokuwa tayari kulipa pensheni ndio mtumishi asitishiwe mshahara na aanze moja kwa moja na mshahara wa mstaafu vinginevyo ni uonevu. Wao wanataka wawaguse wengine ila wao wasiguswe. haki za bina damu na watumishi zizingatiwe.

Pensheni miezi 8 imeisha halafu mtu anasema mwezi wa 8 aliwalipa watu wengi sasa hayo majina ya wengine yako wapi mbona hayakulipwa. tuwe wakweli msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
NCHI NGUMU HIII ....!!!
 
Pensheni au mafao ndo yanachelewa. Peshën hainaga usumbufu kama taratibu zimekamilika.. ukisttaafu tu uunaanza kupta. Mafao huchelewa..

B
 
Pensheni au mafao ndo yanachelewa. Peshën hainaga usumbufu kama taratibu zimekamilika.. ukisttaafu tu uunaanza kupta. Mafao huchelewa..

B
Tunachosema hapa ni Pensheni na mafao vyote kwa pamoja hakuna kitu miezi sasa hivi. Tumestaafu hakuna Pensheni hadi leo, tunasbirimafao pia hakuna kitu ndio ujue sasa. taratibu tulikamilisha toka mwaka jana miezi 4 kabla ya tarehe ya kustaafu
 
Tunachosema hapa ni Pensheni na mafao vyote kwa pamoja hakuna kitu miezi sasa hivi. Tumestaafu hakuna Pensheni hadi leo, tunasbirimafao pia hakuna kitu ndio ujue sasa. taratibu tulikamilisha toka mwaka jana miezi 4 kabla ya tarehe ya kustaafu
Hii Kali pensheni nayo inachelewa.. uwiii.. .polennn. kuna somo hapa kwa ss wastaafu wa baadaye
 
Wao wanajilipa mafao manono sana miaka Kama mitatu nyuma kabla hawajastaafu na maanisha hao hao waliowatungia hizo sheria kandamizi halafu mnasema hii nchi imepata uhuru hebu ngoja

Aliondoka mkoloni akabadili mkoloni mweusi CCM halafu wanatuchezea akili Hawa wapuuzi Hawa ipo siku Moja watalipia Kwa kutupotezea muda wa miaka 60 Toka uhuru Kwa kunufaisha matumbo Yao!
 
Ndio maana tulisisitiza sheria ipitishwe mshahara usikatwe mapaka mafao yawe yamelipwa au mshahara upishane na pensheni wakikata tu na mtu uendelee kupokea pensheni, vinginevyo mshahara usikate mpaka pensheni itakapokuwa tayari au mafao yatakapokuwa tayari wao wanashindwaje ku shift baada ya mshahara pensheni iconect mwezi unao fuata
 
Back
Top Bottom