Serikali iwaombe wafanyabiashara wakubwa waende vyuo vikuu wakafundishe wahitimu angalau unit 1 ili kukamilisha degree ya biashara

Serikali iwaombe wafanyabiashara wakubwa waende vyuo vikuu wakafundishe wahitimu angalau unit 1 ili kukamilisha degree ya biashara

Ccm imeombwa na nchi za zinazotaka kubaki madarakani ,kupita kwa kishindo,kuuza rasilimali na kuongea uongo.

Nchi hizo zimemtunuku nishani
IMG_0249.jpg

IMG_0138.jpg

IMG_0136.jpg
 
Ingekuwa vizuri na wewe pia ukashea (share) na sisi hapa jukwaani hiyo mbinu ya kuchagua location ya biashara uliyopewa na muha wa std 7, kabla serikali haijafanyiakazi maoni yako.
Onyesha mfano kwa wewe mwenyewe kutoa hiyo elimu kwetu.
Njoo post no.1 naweka
 
Back
Top Bottom