Serikali iwapangishe kwa bei nafuu wafanyakazi wanaofanya kazi katikati ya jiji majengo yao yaliobaki wazi

Serikali iwapangishe kwa bei nafuu wafanyakazi wanaofanya kazi katikati ya jiji majengo yao yaliobaki wazi

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Baada ya makao makuu kuhamia Dodoma mijengo mingi mitupu nashauri serikali ipangishe wafanyakazi wa serikali na sekta binafsi wanaofanya Shuguli zao katikati ya jiji kwa bei nafuu.

Pia wawafikirie Wahindi na Waarabu na familia zao ambao hupenda kuishi katikati ya jiji wawapangishe makazi kwa bei nafuu majengo yasibaki matupu.
 
Ngoja waje kina Lukuvi, watakusikia.
Uko saihihi Wanatakiwa ku brain storm kuwa baada ya serikali kuhamia Dodoma what next kwenye hayo majengo? Sio kazi ya Raisi hiyo
 
Uko saihihi Wanatakiwa ku brain storm kuwa baada ya serikali kuhamia Dodoma what next kwenye hayo majengo? Sio kazi ya Raisi hiyo
Nimeona kama lile jengo la ilipokuwa wizara ya afya ni kama kuna shule English medium imekodi pale, advertise ya kwanza wamechora tommy and jerry + Mickey
 
design ya Ofisi na nyumba ya kulala ni tofauti
kuna mgorofa km ule wa Ushirika Floor nzima vyoo viwili mabafu hakuna sasa zipo km Floor 13 hizo familia zitaishije
Majengo mengi ya binafsi yamewekwa kwa ajili ya familia kuishi, au Guest
labda Hostel lkn kuchangia vyoo ni hii Corona binadamu ni wachafu sana usiangalie sura wakitembea
kuna mjengo maarufu niliingia vyooni vile vibomba vya kujimwagilia ujioshe unapoamliza haja, nimekikuta kina samadi, sitaki tena kushare na mtu choo nisichomiliki
 
Bado makampuni yatahitaji kupanga ofisi na bora sana kwa usalama wa jengo. Wakishusha kodi yatajazwa fasta na makampuni.
 
Back
Top Bottom