Serikali iwape DAWASCO uwezo wafunge mtambo hapo JNHEP na mafuriko yatakuwa historia

Serikali iwape DAWASCO uwezo wafunge mtambo hapo JNHEP na mafuriko yatakuwa historia

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
Serikali badala ya kupoteza maji kufungulia na hatimaye kuharibu mashmba na miji huko Rufiji basi wangewapa Dawasco hiyo kazi wafunge mtambo wa maji kuleta Dar huku maji ya ziada tunafyonza tunatumia Dar huku!

Hii akili mpaka tuwaambie sisi wanaJF? au mmerogwa jamani?
 
Back
Top Bottom