Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Serikali badala ya kupoteza maji kufungulia na hatimaye kuharibu mashmba na miji huko Rufiji basi wangewapa Dawasco hiyo kazi wafunge mtambo wa maji kuleta Dar huku maji ya ziada tunafyonza tunatumia Dar huku!
Hii akili mpaka tuwaambie sisi wanaJF? au mmerogwa jamani?
Hii akili mpaka tuwaambie sisi wanaJF? au mmerogwa jamani?