Apply mwanawale tukuone front page ya vita!! Safi sana mzalendo wa russia!! Uwaambie na ndugu zako na ukoo wako wote waaply pia waende!!Hapo ubaya uko wapi? Wewe hujui maisha naona, watu wengi hapa Africa wanatamani kujiuga na jeshi la Urusi ukipewa hiyo Fursa, mbona ni bonge la dili, kifia uko ni bahati mbaya tu.
Mkuu siwezi umri umeenda am above 35yrs of age, ila ningekua below ningeenda hiyo in bonge la dili, sio kila mwanajeshi anaenda front line, hapana kuna department nyingi na enda kwenye section nzuri kupunguza chances of death ya vitani.Apply mwanawale tukuone front page ya vita!! Safi sana mzalendo wa russia!! Uwaambie na ndugu zako na ukoo wako wote waaply pia waende!!
Mkuu siwezi umri umeenda am above 35yrs of age, ila ningekua below ningeenda hiyo in bonge la dili, sio kila mwanajeshi anaenda front line, hapana kuna department nyingi na enda kwenye section nzuri kupunguza chances of death ya vitani.
Mkuu hiyo nafasi ningeipata ningeenda tu, retirement package ya mwanajeshi wa urusu ni $750k war allowance $15k kwa mwezi, unapewa nyumba na free medical care, hiyo pesa ni nyingi hata kuzidi ya watanzania wauuza unga kule SouthUnangoja nini kujiunga?!
Priority yao ni wale below 30yrs, hapo kwanza ntachelewa kuandishwa, kumbuka nina wajibu nawajibika, kwa hawa watanzania wandogo nilio leta duniani, ila ningekua kijana 25yrs kuliko kuenda ualimu, police ya bongo hata JWTZ bora niende nimalize umasikini kwetu.Sasa hivi Russia inakubali hadi watu wenye miaka 50 kujiunga na jeshi
k ni currency ipiMkuu hiyo nafasi ningeipata ningeenda tu, retirement package ya mwanajeshi wa urusu ni $750k war allowance $15k kwa mwezi, unapewa nyumba na free medical care, hiyo pesa ni nyingi hata kuzidi ya watanzania wauuza unga kule South
15 thousands k stands for 1thousand (kilogram)k ni currency ipi
Sio kwa laghai sasaAcha vijana wakapate ajira shida nini. Tunaishi mara moja
Hilo kusoma lipo toka mwaka 88 anko wangu yupo huko na hajaenda vitani.Basi waweke wazi wanatafuta wanajeshi , sio ulaghai wa kwenda kusoma
Urusi haijaanza leo shughuli hizo !! Urusi ilikuwa inasaidia Nchi za Africa tangu enzi za kupigania Uhuru !! Watu walisomeshwa bure na walifunzwa mambo ya jeshi bure pia !! Urusi na Cuba ni washirika wa ukombozi wa Africa tangu zamani sana !!Siku za karibuni nimekuwa nikiona matangazo mengine matandaoni ya kuwavutia vijana kwenda kusoma bure Urusi.
Kabla ya vita hii inayoendelea sikuwahi kuona matangazo kama haya
Sasa ukitazama kuna vijana kadhaa kutoka Afrika waliokuwa wanasoma huko wamefia vitani halafu wote walikuwa jela
Hii inaleta wasiwasi mkubwa, bahati nzuri watu wengi wamestuka ila wapo wajinga wachache wanaoweza kuingia mtegoni, serikali iwe makini
View attachment 2500583View attachment 2500584View attachment 2500585View attachment 2500587View attachment 2500592
Scam hao wasikusumbue .Siku za karibuni nimekuwa nikiona matangazo mengine matandaoni ya kuwavutia vijana kwenda kusoma bure Urusi.
Kabla ya vita hii inayoendelea sikuwahi kuona matangazo kama haya
Sasa ukitazama kuna vijana kadhaa kutoka Afrika waliokuwa wanasoma huko wamefia vitani halafu wote walikuwa jela
Hii inaleta wasiwasi mkubwa, bahati nzuri watu wengi wamestuka ila wapo wajinga wachache wanaoweza kuingia mtegoni, serikali iwe makini
View attachment 2500583View attachment 2500584View attachment 2500585View attachment 2500587View attachment 2500592
US walitoa hii hadhari Kwa Wafrika kutumiwa watumwa wa Vita huko..
Mnaomshangilia Putin mwambieni apeleke Watoto wake huko..
La hasha . Ni hiari yenye hadaa. Anawalaghai i.e. anawawekea chambo(Bait). Tahadhari kabla ya hatari. Waende tena kwa wingi wao lakini wakiwa wanajua kwamba na hilo linaweza likawepo. Wasije baadaye kulia-lia hapa.Wacha waenda, Muingereza pia alichukuwa vijana kupigana vita yake na Mjerumani.
Kama njia ya Urusi ni kuwapa eimu watakaosoma na watakaoshindwa wakapigane, tatizo nini? Kwani anawachukuwa kwa nguvu?
Nenda Vitani acha upuuziKwani kwenye vita ambazo marekani wamepigana president walipeleka watoto wao?
Achana na propaganda za magharibi wewe!
Mkuu, Hawajazuiwa. Ni vigezo na masharti tu kuzingatiwa. Ila hata unapoajiriwa hapa Tz huwa unapewa JD. Kinachofanyika katika uzi huu ni kuwapa Tahadhari wale wanaowania au kuwa-instigate (kuChochea na kuhamasisha) wenzao waende wakajiunge huko. Serikali kama Mamalka, inao wajibu wa kuhakikisha Usalama wa Raia wake. Mtoa mada tunamshukuru anaikumbusha Serikali itimize wajibu wake huo wa Kikatiba. Lakini kwa vijana wanaotaka kwenda mbona ni rahisi tu? WAENDEEEE. Nakumbuka kuliwahi kutolewa Tangazo la Wito kujiunga na Jeshi la Urussi.Kuwazuia vijana kwenda kazi hali huna uwezo wa kuwalisha sio sahihi