Mkuu, Hawajazuiwa. Ni vigezo na masharti tu kuzingatiwa. Ila hata unapoajiriwa hapa Tz huwa unapewa JD. Kinachofanyika katika uzi huu ni kuwapa Tahadhari wale wanaowania au kuwa-instigate (kuChochea na kuhamasisha) wenzao waende wakajiunge huko. Serikali kama Mamalka, inao wajibu wa kuhakikisha Usalama wa Raia wake. Mtoa mada tunamshukuru anaikumbusha Serikali itimize wajibu wake huo wa Kikatiba. Lakini kwa vijana wanaotaka kwenda mbona ni rahisi tu? WAENDEEEE. Nakumbuka kuliwahi kutolewa Tangazo la Wito kujiunga na Jeshi la Urussi.
Nadhani hilo tangazo halijafika kwa wengi. Wapo waliokata tamaa wapo radhi wakafie vitani KWA faida ya familia zao kuliko kufa njaa nyumbani.
Pana mtoto wa ndugu yangu alimaliza IFm ni Mhasibu jeshi la Uingereza yupo kwenye submarine ana ACCA chartered accountant.