Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hata cocaine ina mapato makubwa.Na kukataa mtu asifananishwe na mdudu huna tofauti na kugoma kwamba kinyesi cha unayemtetea hakinuki sawa na chako.Hapo point yangu ni kwenye kuwafananisha wavutaji na wadudu... Sasa mfano Obama anafanana na wadudu kweli... Anyways mi siungi mkono hoja ukizingatia kodi ya sigara inachangia pakubwa kwenye mapato ya nchi
Unatoka kwenye hoja yako mzee cocaine ina mapato wapi mzee...Hata cocaine ina mapato makubwa.Na kukataa mtu asifananishwe na mdudu huna tofauti na kugoma kwamba kinyesi cha unayemtetea hakinuki sawa na chako.
Kama haujui hata hilo ndiyo maana unaitetea sigara.Unatoka kwenye hoja yako mzee cocaine ina mapato wapi mzee...
Ishi na jali maisha yako weweeNadhani Serikali Iweke Adhabu Kali kwa Yeyote Atakaevuta Sigara hadharani. Maana haiwezekani Tuleteane Magonjwa ya cancer za Mapafu kwa Ajili ya Starehe ya Mtu mwingine. Mtu ananunua Sigara Dukani Anawashasha hapo hapo halafu anapuliza Moshi watu watu wengine wanavuta limoshi lake.
Hii haijakaa Mahali pake. Na Nadhani Angalau Faini yake Isipungue chini ya 300,000 au kifungo Cha Miezi Sita Jela au vyote kwa Pamoja.... Ili iwe fundisho kwa muhusika na wengine wenye tabia kama hizo.
View attachment 2978544
Samia hajawahi kusubiria ππNadhani Serikali Iweke Adhabu Kali kwa Yeyote Atakaevuta Sigara hadharani. Maana haiwezekani Tuleteane Magonjwa ya cancer za Mapafu kwa Ajili ya Starehe ya Mtu mwingine. Mtu ananunua Sigara Dukani Anawashasha hapo hapo halafu anapuliza Moshi watu watu wengine wanavuta limoshi lake.
Hii haijakaa Mahali pake. Na Nadhani Angalau Faini yake Isipungue chini ya 300,000 au kifungo Cha Miezi Sita Jela au vyote kwa Pamoja.... Ili iwe fundisho kwa muhusika na wengine wenye tabia kama hizo.
View attachment 2978544
Ni aibu kuona umejaza ujinga kichwani ππNiserikali hii unayosema ibane wavutaji? Serikali iliyoshindwa kubana wezi wa mali ya umma iweze kupambana na watu walioamua kuungiza hela zao?
Wameacha kutoa elimu wanajifanya wanapitisha sheria. Aibu yao
Sorry here Cha Njombe is included?Nadhani Serikali Iweke Adhabu Kali kwa Yeyote Atakaevuta Sigara hadharani. Maana haiwezekani Tuleteane Magonjwa ya cancer za Mapafu kwa Ajili ya Starehe ya Mtu mwingine. Mtu ananunua Sigara Dukani Anawashasha hapo hapo halafu anapuliza Moshi watu watu wengine wanavuta limoshi lake.
Hii haijakaa Mahali pake. Na Nadhani Angalau Faini yake Isipungue chini ya 300,000 au kifungo Cha Miezi Sita Jela au vyote kwa Pamoja.... Ili iwe fundisho kwa muhusika na wengine wenye tabia kama hizo.
View attachment 2978544