Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Katika miji yote mikubwa utakuta taa za barabarani zipo barabara chache na nyingi Ni mbovu haziwaki na hakuna ukarabati wowote.
Hakuna ufuatiliaji wala uongezwaji wa taa katika barabara kuu na halmashauri hazijishughulishi na hilo wanachojua wao mwisho wa mwezi uhakika basi imetoka hiyo.
Jiji kama la Dar es Salaam pekee ndo angalau miundombinu ipo vizuri pamoja na taa za barabarani ukilinganisha na mikoa au majiji mengine
Hata katika stand nyingi za Mikoani ni taa mbili tatu utakuta ndo zinawaka hivyo kusababisha kuwa kichaka cha vibaka na wezi wakati wa usiku.
Ni vyema Serikali kwa mambo madogo madogo na ya Muhimu kama hayo wakayapa kipaumbele badala ya mji kuwa na muonekano wa giza kila mwaka.
Hakuna ufuatiliaji wala uongezwaji wa taa katika barabara kuu na halmashauri hazijishughulishi na hilo wanachojua wao mwisho wa mwezi uhakika basi imetoka hiyo.
Jiji kama la Dar es Salaam pekee ndo angalau miundombinu ipo vizuri pamoja na taa za barabarani ukilinganisha na mikoa au majiji mengine
Hata katika stand nyingi za Mikoani ni taa mbili tatu utakuta ndo zinawaka hivyo kusababisha kuwa kichaka cha vibaka na wezi wakati wa usiku.
Ni vyema Serikali kwa mambo madogo madogo na ya Muhimu kama hayo wakayapa kipaumbele badala ya mji kuwa na muonekano wa giza kila mwaka.