KERO Serikali iziangalie Barabara za Kahama, mashimo-mashimo ni mengi na inakera kutumia

KERO Serikali iziangalie Barabara za Kahama, mashimo-mashimo ni mengi na inakera kutumia

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Sisi Wakazi wa Kahama kiukweli tunayo kero ya barabara kutokuwa na ubora mzuri hali ambayo imekuwa ikitupa shida kwenye kutekeleza majukumu yetu.

Barabara za mjini takribani kote ni changamoto, mashimo mashimo kila kona jambo ambalo linahatarisha usalama wa vyombo vyetu kuharibika mara kwa mara, pia ni hatari kwa kuwa inaweza kusababisha ajali.

Kwenye mkoa mzima wa Shinyanga nadhani hapa Wilaya ya Kahama ni moja ya Wilaya inayochangia ukusanyaji wa mapato mengi mpaka kuna wakati ilisikika taarifa kuwa ilitakiwa kupewa hadhi ya Mkoa.

Natoa wito kwa Serikali kushughulikia hakikisha tunapata barabara nzuri kwa mashimo kuzibwa kwani wakati huu ambapo mvua zimeanza, hali inaweza kuwa mbaya zaidi.

20250130_132043.jpg

20250130_132043(0).jpg

20250130_132036(0).jpg
 
Sisi Wakazi wa Kahama kiukweli tunayo kero ya barabara kutokuwa na ubora mzuri hali ambayo imekuwa ikitupa shida kwenye kutekeleza majukumu yetu.

Barabara za mjini takribani kote ni changamoto, mashimo mashimo kila kona jambo ambalo linahatarisha usalama wa vyombo vyetu kuharibika mara kwa mara, pia ni hatari kwa kuwa inaweza kusababisha ajali.

Kwenye mkoa mzima wa Shinyanga nadhani hapa Wilaya ya Kahama ni moja ya Wilaya inayochangia ukusanyaji wa mapato mengi mpaka kuna wakati ilisikika taarifa kuwa ilitakiwa kupewa hadhi ya Mkoa.

Natoa wito kwa Serikali kushughulikia hakikisha tunapata barabara nzuri kwa mashimo kuzibwa kwani wakati huu ambapo mvua zimeanza, hali inaweza kuwa mbaya zaidi.

Tatizo miji kama hii ya madini,haina viongozi wazalendo na wananchi wake wengi ni wageni hivyo hawana ile hali ya kufuatilia kizakendo.

Dili kubwa za watumishi wa wizara hupitia kwenye wilaya kama hii

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom