Wewe ni mbumbumbu... bora ungenyamaza tu ...Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Umetembea hoteli zote Tanzania?Hoteli zote Tanzania ziko hivyo.Unataka utajiwe noja moja?
Kujitangaza Sheria hukataza lakini.kesi Kama hii akitokea wakili anaipeleka mhakamani jina lake litapaa Dana kila Kona ya nchi sababu ni.kesi inayogisa watu wenginmno ndani na nje ya nchi.Uko sahihi.....
Wanasheria kazi hii Hapa.....
You are not only pretentious and useless.Nenda yeyote kalale uhakikii niliyosema .Nikitaja tu haiwezi kujisaidia Wala huwezi aminoi.Kadhibitidhe mwenyewe kwa ku book hoteli yeyoye .Uache porojo zako humu
Sijakutukana.Hukupekekwa na wazazi wako kusoma kiingereza kusomea matusi.Kazi ya lugha ya kiingereza sinkutukania watu.Maskini akipata matako hulia mbwata .Kiingereza kimekupata maskini wewe
Samahani Mkuu tafsiri yako ya siku ni masaa 24 au 12?Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Mamlaka ya kufunga mjadala kakupa nani?basi nafunga mjadala na wewe tuwaachie members wengine wajadili wanaojua ukweli inate tu wewe na ubishi wako wa kipare