essy sensei
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 313
- 359
Wewe jamaa inabidi uende FB maana hoja zako ni za kiuanafunzi sana, unatupotezea muda wa kusoma hizo pumba zako tuna mambo mengi ya kufanyaDaaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Kuna siku jamaa mmoja alianzisha valangati la kufa mtu.Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣"wageni wenyeji"
Hapo sasa ndo kuna hoja ya Mtoa Mada....Kuna siku nilisafiri kwenda singida nikafika saa 10 na nusu usiku....nikawaza nichukue lodge ya nini wakati saa nne nitatolewa....nikalala zangu kwenye gari tu.
hayo masaa yako ya ulaya baki nayo huko huko.UNAPANGA KWA SIKU NZIMA MASAA 24 hakuna siku yenye masaa mawili au matatu.Unaelewa maana ya siku moja ?Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Wewe utakuwa huwa waenda Guest za uchochoroni but hotels zinazojielewa siku huanza huanza saa Saba usikuKawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
hakuna anayekataa hoteli kufanya usafi. muda a usafi ukifika unawapisha wasafishe mbona kitu cha kawaida.Mfano umepanga hoteli wiki nzima kwani huwa unaondoka hotelini au chumba hakisafishwi? Ninachokataa kumtoa mteja wa siku moja ikifika saa mnne asubuhi wakati masaa yake 24 hayajafikaHizo ni taratibu za uendeshaji biashara na mteja anawajibika kuzifuata. Maoni yako hujafikiri sana. Kama muda wa kutoka utafata ulivyo ingia kuna siku utafurushwa usiku. Saa nne inategemewa wengi watakuwa wameamka na kutoa nafasi kwa usafi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpumbavuDaaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Huna unalojua wewe SatoKweli adui wa Tanzania ni ujinga. Kama umesoma na haujaelewa hata nikieleza hauwezi kuelewa.
Nimejikuta naona aibu mimiHajui kitu kinaitwa standard
Pia hajui sehemu inaitwa mwanzo na mwisho
Mfano: mwanzo wa mwaka wa serekali ni July 1. Mwanzo wa mwaka wa kitaaluma ni October, na mwanzo wa mwaka wa calebder ni Jan 1.
Kuna nchi mfano za ulaya, marekani, Philippine na Uturuki, Muda wa kuchukua chumba unaanza saa saba mchana na kumalizika saa 6 mchana. Ukifika saa 4, 5 au 6 asubuhi hawakupi chumba mpaka muda ufike.
Sasa huyu pimbi kashiba kande anatuletea upupu hapa