Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Kwa mujibu wa yeye ni Saa 6.00 usiku. Na ukiingia saa 5.55 usiku utalazimika kukaa dakika 5 tu Kisha uendelee na hamsini zako.Ukiingia saa 7 usiku, unatakiwa utoke saa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa yeye ni Saa 6.00 usiku. Na ukiingia saa 5.55 usiku utalazimika kukaa dakika 5 tu Kisha uendelee na hamsini zako.Ukiingia saa 7 usiku, unatakiwa utoke saa ngapi?
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
So Unfair...!Umetoa hoja muhimu sana na wengi hawafahamu. Unaingia kwenye hoteli saa 8:00 usiku (2:00am) asubuhi kabla ya saa 4:00 nne asubuhi (10:00am) unaamshwa ati ulipe tena kama unataka kukaa kwa siku nyingine?
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Umeongea jambo la msingi sana, kuna siku nimetoka safarini nimeingia Dsm saa 9 usiku pale Shekilango nikaamua nitafute Hotel pale karibu kutokana na vitu vya thamani nilivyokuwa navyo kwa usalama zaidi.Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Ungefanya tu kuficha ujinga wako...Akili za kimaskini tu hizi. Wewe ulifikia hostel na siyo hotel. tunaotumia hotel tunakwenda hotel hata kupumzika tu kusubili departure time badala ya kukaa airport masaa mengi.
Usiandike tena huu ujinga wako mbele ya watu wenye akili timamu na exposure kubwa.
Hotel zote zenye hadhi kuna check in and check out time. Cleaning room time. Free breakfast time and so on........
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba tupe darasa wewe ambaye ni mwelewa uki check in saa kumi jioni leo tarehe 14/12/2019 unatakiwa kisheria ucheck out lini endapo utalala siku moja.Akili za kimaskini tu hizi. Wewe ulifikia hostel na siyo hotel. tunaotumia hotel tunakwenda hotel hata kupumzika tu kusubili departure time badala ya kukaa airport masaa mengi.
Usiandike tena huu ujinga wako mbele ya watu wenye akili timamu na exposure kubwa.
Hotel zote zenye hadhi kuna check in and check out time. Cleaning room time. Free breakfast time and so on........
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulibugi kwenye kujisajili wakati wa kuandika tarehe maana unaandika tarehe ya kuingia na ya kutoka sasa weww ilikuaje ukaandika kuingia tarehe kumi na kutoka tarehe kumi.Ni Majizi kweli Kuna siku nimefika mwanza saa 8 usiku nikaenda hotelini ... Asubuhi nagongewa mlango niachie chumba hata usingizi haujaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa nane utaenda wapi itabd ulipie tenaHapa ukiacha wageni wa kiukweli wanaolala Hotelini
Huu uzi utaungwa mkono kwa asilimia kubwa pia na sisi "wageni wenyeji"(wazinzi/ mabaharia) tunataka haki yetu ya kunyanduana masaa 24[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani jumamosi nikipotea nyumbani jion jion naenda kupiga ulabu naingia lodge saa8 usiku nashinda kesho yake yote hadi usiku hahahaaaa
Okee na ukiingia SAA 7au 8 usiku inakuwaje..??Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana