Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi

Umetoa hoja muhimu sana na wengi hawafahamu. Unaingia kwenye hoteli saa 8:00 usiku (2:00am) asubuhi kabla ya saa 4:00 nne asubuhi (10:00am) unaamshwa ati ulipe tena kama unataka kukaa kwa siku nyingine?
 
Umetoa hoja muhimu sana na wengi hawafahamu. Unaingia kwenye hoteli saa 8:00 usiku (2:00am) asubuhi kabla ya saa 4:00 nne asubuhi (10:00am) unaamshwa ati ulipe tena kama unataka kukaa kwa siku nyingine?
So Unfair...!
 
Huko Nigeria [emoji1184] ulienda kwa Joshua kukuombea upone maradhi gani?
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi

Hapa leo naona una hoja. Umezungumza jambo ambalo linamaslahi ya wote. Nadhani wanapaswa kuweka check in na check out kisheria na sio kusema 24hrs, maana kama ni 24 hrs chumba kitafanyiwa usafi saa ngapi?
 
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Umeongea jambo la msingi sana, kuna siku nimetoka safarini nimeingia Dsm saa 9 usiku pale Shekilango nikaamua nitafute Hotel pale karibu kutokana na vitu vya thamani nilivyokuwa navyo kwa usalama zaidi.
Nimelala saa kumi, nimekuja kushtuka saa tatu na nusu mhudumu anakuja kugonga Mda umeisha aisee yule mdada hatonisahau kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana

Sawa mmiliki wa lodge asante kwa mfano je ukiingia SAA saba usiku ianatakiwa utoke SAA sita usiku sio SAA NNE asubuh si ndio?
 
Hotel zina masharti yake kwa mfano hotel za kimataifa nililala nyingi tu na moja ya mwisho nakumbuka ilikuwa Radisson Blu Edwardian Heathrow
Kuanzia saa 8mchana ni siku mpaka saa 6 mchana siku ya pili ndio unaachia chumba
Hii ni kwa ajili ya usafi ila kama utawajulisha na kuomba tuseme saa moja unaweza kukubaliwa
Sheria hizo kwenye hotel nyingi kubwa ni saa 6 mchana na sio saa 4 kama hotel zetu huko
Yaani mtu umechoka umeingia usiku unaamua kutega saa ikuamshe tena mapema ili uachie chumba huo sio uungwana kabisa
Sijui nani alileta hii ya saa 4 hata mimi naipinga


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Akili za kimaskini tu hizi. Wewe ulifikia hostel na siyo hotel. tunaotumia hotel tunakwenda hotel hata kupumzika tu kusubili departure time badala ya kukaa airport masaa mengi.

Usiandike tena huu ujinga wako mbele ya watu wenye akili timamu na exposure kubwa.

Hotel zote zenye hadhi kuna check in and check out time. Cleaning room time. Free breakfast time and so on........





Sent using Jamii Forums mobile app
Ungefanya tu kuficha ujinga wako...
 
Akili za kimaskini tu hizi. Wewe ulifikia hostel na siyo hotel. tunaotumia hotel tunakwenda hotel hata kupumzika tu kusubili departure time badala ya kukaa airport masaa mengi.

Usiandike tena huu ujinga wako mbele ya watu wenye akili timamu na exposure kubwa.

Hotel zote zenye hadhi kuna check in and check out time. Cleaning room time. Free breakfast time and so on........





Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba tupe darasa wewe ambaye ni mwelewa uki check in saa kumi jioni leo tarehe 14/12/2019 unatakiwa kisheria ucheck out lini endapo utalala siku moja.
 
Kuna haja ya kufanya marekebisho ya utaratibu wakutoza malipo.

Nashauri lessen za biashara ya hotel na nyumba za kulaza wageni zitolewe Kwa maelekezo kua malipo yafanyike Kwa saa na sio Kwa utamaduni (wala sidhani Kama ni sheria) ya kulipa Kwa siku. .i.e Kwa tarehe.

Wahusika hapa ni Manispaa na halmashauri.
 
Ni Majizi kweli Kuna siku nimefika mwanza saa 8 usiku nikaenda hotelini ... Asubuhi nagongewa mlango niachie chumba hata usingizi haujaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulibugi kwenye kujisajili wakati wa kuandika tarehe maana unaandika tarehe ya kuingia na ya kutoka sasa weww ilikuaje ukaandika kuingia tarehe kumi na kutoka tarehe kumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ukiacha wageni wa kiukweli wanaolala Hotelini

Huu uzi utaungwa mkono kwa asilimia kubwa pia na sisi "wageni wenyeji"(wazinzi/ mabaharia) tunataka haki yetu ya kunyanduana masaa 24[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yani jumamosi nikipotea nyumbani jion jion naenda kupiga ulabu naingia lodge saa8 usiku nashinda kesho yake yote hadi usiku hahahaaaa
Saa nane utaenda wapi itabd ulipie tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Okee na ukiingia SAA 7au 8 usiku inakuwaje..??
 
Back
Top Bottom