Sasa hao 1eleven ya Asec wanaitwa kwenye timu zao za Taifa 😀?Kweli kabisa ukiangalia Asec au Berkane na wengineo unakuta karibia first eleven yote ni wazawa na bado wanacheza mpira mzuri tuu, Simba na Yanga zimejaza maforeigner watupu alafu tunataka tuwe na timu ya taifa nzuri!!
Kama tunataka maendeleo ya mpira nchi yetu basi tuzifute kwanza hiz timu mbili kwanza
Maana koch asipochagua mchezaji kutoka timu hizi anakuwa katka wakat mgumu Sana hata kama hawana viwango
MUDA UMEFIKA TUZIFUTE SIMBA NA YANGA TUENDELEE KISOKA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa hao 1eleven ya Asec wanaitwa kwenye timu zao za Taifa [emoji3]?
Tusilamishe kumkamua maziwa ng'ombe tusiyemhudumia.
Serikali inachangia nini kukuza vipaji? Serikali Ina hata football academy Moja?.
Unaongelea kitu kisicho wezekanaKama tunataka maendeleo ya mpira nchi yetu basi tuzifute kwanza hiz timu mbili kwanza
Maana koch asipochagua mchezaji kutoka timu hizi anakuwa katka wakat mgumu Sana hata kama hawana viwango
MUDA UMEFIKA TUZIFUTE SIMBA NA YANGA TUENDELEE KISOKA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ulaya ya maji maittu au ipi?Hawaitwi timu ya taifa, lakini wanaonesha vipaji vyao alafu wanauzwa ulaya, sisi vipaji vyetu vitaonekana wapi ikiwa wanaonekana uko nje ni wakina Sakho na Banda