Leo tumeamka na taarifa ya kuibuka kwa aina mpya ya kirusi cha Corona huko Uingereza na Afrika Kusini; Kirusi hicho kipya kina uwezo wa kusambaa kwa haraka zaidi ya 70% ya kirusi cha kawaida.
Kufuatia kuibuka kwa aina hiyo mpya ya Kirusi nchi kadhaa zikiongozwa na Ujerumani tayari zimepiga marufuku wasafiri kutoka Uingereza na Afrika Kusini kuingia katika nchi zao
Nalazimika kuishauri Serikali kuzuia haraka wasafiri wote kutoka Afrika Kusini na Uingereza kuingia nchini ili kuiepusha nchi na aina hiyo mpya ya kirusi cha corona
Kufuatia kuibuka kwa aina hiyo mpya ya Kirusi nchi kadhaa zikiongozwa na Ujerumani tayari zimepiga marufuku wasafiri kutoka Uingereza na Afrika Kusini kuingia katika nchi zao
Nalazimika kuishauri Serikali kuzuia haraka wasafiri wote kutoka Afrika Kusini na Uingereza kuingia nchini ili kuiepusha nchi na aina hiyo mpya ya kirusi cha corona