johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msemaji wa serikali Gerson Msigwa amesema katika miaka 5 iliyopita serikali imeweza kujenga viwanda 8000 vingi vikiwa mkoa wa Pwani ambalo ni eneo la kimkakati.
Msigwa amesema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Iringa leo.
Chanzo: TBC
Msigwa amesema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Iringa leo.
Chanzo: TBC