Serikali: Katika miaka 5 iliyopita tumejenga Viwanda 8,000 vingi vikiwa mkoa wa Pwani

Serikali: Katika miaka 5 iliyopita tumejenga Viwanda 8,000 vingi vikiwa mkoa wa Pwani

ZIle porojo zake za Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda ukisikia hata akithubutu kuongelea wakati wa kampeni? Kungekuwa hata na viwanda 1,000 tu usingeona machinga hapa mjini. Kila mtu anaona idadi na biashara ya bodaboda na ajira ilizotoa, iweje viwanda 8,000 ajira zake zisionekane uwepo wake? Bado huyo msemaji wa serikali yuko kwenye usingizi mzito wa propaganda za kizee?
Kama kila kiwanda kinge ajiri mtu mmoja wangekuwa watu 8000 wana ajira!
 
Anaye bisha, aende kibaha maeneo ya Zegereni, hamtaamini, mwenyewe nilikua siamini. Eneo la viwanda 1000, 300, tayari vinafanya kazi, around 500-600 vinajengwa, average ajira ni watu 60.

Ila sijui Kama ni Magufuli, kwani eneo lilitengwa na Jakaya kwa kufanya lobbying Ili kuwasaidia wa kwere wenzie,

Simlaumu hata mimi ningekua jk ningefanya hivo.
 
Msemaji wa serikali Gerson Msigwa amesema katika miaka 5 iliyopita serikali imeweza kujenga viwanda 8000 vingi vikiwa mkoa wa Pwani ambalo ni eneo la kimkakati.

Msigwa amesema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Iringa leo.

Chanzo: TBC
Umaskini wa muafrika unaanzia kichwani mwake.
 
Anaye bisha, aende kibaha maeneo ya Zegereni, hamtaamini, mwenyewe nilikua siamini. Eneo la viwanda 1000, 300, tayari vinafanya kazi, around 500-600 vinajengwa, average ajira ni watu 60.

Ila sijui Kama ni Magufuli, kwani eneo lilitengwa na Jakaya kwa kufanya lobbying Ili kuwasaidia wa kwere wenzie,

Simlaumu hata mimi ningekua jk ningefanya hivo.
Duh ndugu acha fix....me nakaa kibaha na zegereni huwa nafanya kazi za umeme huko viwandan....viwanda miatatu hamna....ni kweli ni eneo la viwanda lakin hata mia havifiki......mkoa mzima wa pwani labda viwanda 500 tu (nmetembea maeneo mengi kutokana na kaz nnazofanya)
 
Duh ndugu acha fix....me nakaa kibaha na zegereni huwa nafanya kazi za umeme huko viwandan....viwanda miatatu hamna....ni kweli ni eneo la viwanda lakin hata mia havifiki......mkoa mzima wa pwani labda viwanda 500 tu (nmetembea maeneo mengi kutokana na kaz nnazofanya)

Asante bro, uko vizuri, active 500 yes, umeinlude vya mboga mboga kwa jk nyumbani na labda kule kwenye qwarry Lugoba.
Mi nilisema 300, una acknowledge 200 more active.

Ongoing construction huwezi itwa kwa shughuli zako za umeme. Subiri vikiwa fully active utakuja na data kamili.

Ni bahati mbaya for ethical reasons siwezi weka data hapa. La sivo ninge zimwaga hapa. Ila taarifa ina fact.
Sorry for any inconveniences.
 
Kwakuwa anavaa barakoa inamkinga na aibu kwa hiyo anaongea tu upuuzi wake,
 
Back
Top Bottom