Barabara kutoka pale bypass ya East Africa ni ya zamani sana, ni nyembamba, imejaa mashimo, viraka, ukiipata ni sawa tu na njia ya kwenda Kiteto.
Barabara hiyo inatumiwa na watalii hasa wazungu, uwanja wa ndege Arusha una miruko(flights) zaidi ya 150 kwa siku, ni aibu kwa nchi.
Kwanini tusiweze kuficha hii aibu? Ni kwamba nchi yetu ni maskini hivi? Hayo mapato ya utalii kwanini sehemu isitumike kujenga kale ka kipande. Tuna umaskini wa akili kuliko rasilimali. Hv Rais wa nchi anajisikiaje?
Hii nchi inatakiwa ifike mahala Rais anaweza kuondolewa madarakani muda wowote. Unaenda kujenga sports academy kijijini ambayo hahitajiki kisa ni kwao, barabara muhimu sana haijengwi, ni aibu.
Mara ya mwisho ile barabara kujengwa ni miaka ya 90 km siyo 80
Barabara hiyo inatumiwa na watalii hasa wazungu, uwanja wa ndege Arusha una miruko(flights) zaidi ya 150 kwa siku, ni aibu kwa nchi.
Kwanini tusiweze kuficha hii aibu? Ni kwamba nchi yetu ni maskini hivi? Hayo mapato ya utalii kwanini sehemu isitumike kujenga kale ka kipande. Tuna umaskini wa akili kuliko rasilimali. Hv Rais wa nchi anajisikiaje?
Hii nchi inatakiwa ifike mahala Rais anaweza kuondolewa madarakani muda wowote. Unaenda kujenga sports academy kijijini ambayo hahitajiki kisa ni kwao, barabara muhimu sana haijengwi, ni aibu.
Mara ya mwisho ile barabara kujengwa ni miaka ya 90 km siyo 80