Serikali kuanza maboresho ya Daftari la Wapiga Kura

Serikali kuanza maboresho ya Daftari la Wapiga Kura

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
PMO_1786.jpg

Serikali imesema katika mwaka 2023/2024, shughuli za maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 pamoja na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka 2024 zitaendelea.
“Kazi zitakazofanyika ni pamoja na kulifanyia maboresho Daftari la Kudumu la Wapiga Kura; kuboresha mifumo ya menejimenti ya uchaguzi; kuendelea na mchakato wa marekebisho ya sheria za uchaguzi; kuandaa Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; na kutoa elimu ya Mpiga kura kwa wananchi.
“Nitumie fursa hii kuwaomba viongozi wa vyama vya siasa kuhamasisha wanachama na Watanzania wote wenye sifa kujiandikisha kwenye Daftari hilo na kupata kitambulisho halali cha mpiga kura pale zoezi hilo litakapoanza rasmi,” amesema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, bungeni leo.
 
PMO_1786.jpg

Serikali imesema katika mwaka 2023/2024, shughuli za maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 pamoja na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka 2024 zitaendelea.
“Kazi zitakazofanyika ni pamoja na kulifanyia maboresho Daftari la Kudumu la Wapiga Kura; kuboresha mifumo ya menejimenti ya uchaguzi; kuendelea na mchakato wa marekebisho ya sheria za uchaguzi; kuandaa Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; na kutoa elimu ya Mpiga kura kwa wananchi.
“Nitumie fursa hii kuwaomba viongozi wa vyama vya siasa kuhamasisha wanachama na Watanzania wote wenye sifa kujiandikisha kwenye Daftari hilo na kupata kitambulisho halali cha mpiga kura pale zoezi hilo litakapoanza rasmi,” amesema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, bungeni leo.
Nadhani tittle ingesema "TUME KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI" kwa mujibu wa sheria User department wa shughuli za uboreshaji wa Daftari na masuala ya Uchaguzi unafanywa na Tume. Serikali inaomba fedha kwa niaba ya Taasisi iliyokasimishwa mamlaka hayo kikatiba na sheria zilizopo. Rejea ib 74 (6) (a) ya Katiba ya JMT.
 
Nadhani sheria ndio inaelekeza hivyo, kufanya uboreshaji wa daftari mara 2 kabla ya kuingia kwenye uchaguzi. Sikumbuki vyema vifungu ila ni demand ya kisheria
 
wanaboresha nini tena wakati kailima kasharudishwa kule? bado na Kipilimba naye arudi kule mchezo umeisha , haya mengine maigizo tu, hao jamaa wanajua wenyewe walichomfanya Lowassa. KImsingi Tume ni kikundi kidogo cha UGAIDI.
 
wanaboresha nini tena wakati kailima kasharudishwa kule? bado na Kipilimba naye arudi kule mchezo umeisha , haya mengine maigizo tu, hao jamaa wanajua wenyewe walichomfanya Lowassa. KImsingi Tume ni kikundi kidogo cha UGAIDI.
Hahahah ugaidi tena??.... Uchaguzi si tunashiriki wote?
 
PMO_1786.jpg

Serikali imesema katika mwaka 2023/2024, shughuli za maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 pamoja na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka 2024 zitaendelea.
“Kazi zitakazofanyika ni pamoja na kulifanyia maboresho Daftari la Kudumu la Wapiga Kura; kuboresha mifumo ya menejimenti ya uchaguzi; kuendelea na mchakato wa marekebisho ya sheria za uchaguzi; kuandaa Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; na kutoa elimu ya Mpiga kura kwa wananchi.
“Nitumie fursa hii kuwaomba viongozi wa vyama vya siasa kuhamasisha wanachama na Watanzania wote wenye sifa kujiandikisha kwenye Daftari hilo na kupata kitambulisho halali cha mpiga kura pale zoezi hilo litakapoanza rasmi,” amesema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, bungeni leo.
Tz kuna umuhimu wa uchaguzi?
 
Back
Top Bottom