Ni kweli ina nia ya kusaidia janga la njaa. Lakini kwa nini kila wakati wa kuuza bei ya chini ni wakulima tuu.
Kwanini bidhaa nyigne hatua kama hizi hazichukuliwi. Sisi tunaotoa muda wetu kulima na kudharaulika tunalazimishwa kulisha watu wavivu na wengine wanaotukashifu tunapoingia shambani kupambana.
Serikali hiyo hiyo haitoi msaada wowote kwetu wakulima. Kidogo wanachotoa kina masharti magumu na mara nyignine kinaliwa juu kwa juu mpaka kitufikie ni robo.
Serikali sasa iache wakulima nao tufaidi mabei makubwa hata laki tano kwa gunia la mahindi poa tuu. Kila mmoja ale urefu wa kamba yake.
Kwanini bidhaa nyigne hatua kama hizi hazichukuliwi. Sisi tunaotoa muda wetu kulima na kudharaulika tunalazimishwa kulisha watu wavivu na wengine wanaotukashifu tunapoingia shambani kupambana.
Serikali hiyo hiyo haitoi msaada wowote kwetu wakulima. Kidogo wanachotoa kina masharti magumu na mara nyignine kinaliwa juu kwa juu mpaka kitufikie ni robo.
Serikali sasa iache wakulima nao tufaidi mabei makubwa hata laki tano kwa gunia la mahindi poa tuu. Kila mmoja ale urefu wa kamba yake.