Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kwamba sasa wako huru? Majaji Wanateuliwa na nani? Wanautumia katiba mpya?Muhimili wa mahakama ulimezwa. Walikuwa ni watu wa kupokea maagizo tu
Na hili ndilo eneo ambalo Hangaya amemsaliti Magufuli mchana kweupe.Kesi nyingi zilizofunguliwa na awamu ya JPM zimefutwa, watuhumiwa wengi tulioambiwa walihujumu uchumi wakanyimwa dhamana wameachiwa kwa maelezo kwamba serikali haina umuhimu wakuendelea na kesi hizo. Awali tuliambiwa wanazungumza na DPP wanalipa lakini Leo hii hakuna anayezungumza na DPP Wala anayelipa Jambo ambalo linatia doa mahakama yetu.
Je, Ni sahihi wanasiasa kutumia mahakama kunyima watu uhuru? Nini mahakama inapaswa kufanya kuepukan na mtego uliopo mbele yao wakuwaweka watu mahabusu bila fidia kwa sababu zakisiasa? Tutaendelea kuweka watu mahabusu Hadi lini kisa tu wanamyizamo tofauti na wetu?
Kesi nyingi zilizofunguliwa na awamu ya JPM zimefutwa, watuhumiwa wengi tulioambiwa walihujumu uchumi wakanyimwa dhamana wameachiwa kwa maelezo kwamba serikali haina umuhimu wakuendelea na kesi hizo. Awali tuliambiwa wanazungumza na DPP wanalipa lakini Leo hii hakuna anayezungumza na DPP Wala anayelipa Jambo ambalo linatia doa mahakama yetu.
Je, Ni sahihi wanasiasa kutumia mahakama kunyima watu uhuru? Nini mahakama inapaswa kufanya kuepukan na mtego uliopo mbele yao wakuwaweka watu mahabusu bila fidia kwa sababu zakisiasa? Tutaendelea kuweka watu mahabusu Hadi lini kisa tu wanamyizamo tofauti na wetu?