Serikali kugharamia ukarabati uharibifu wa kanisa Geita

Serikali kugharamia ukarabati uharibifu wa kanisa Geita

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Hii issue nachukulia kama cheap politics, kujipendekeza na kutafuta huruma Kwa viongo wa dini, Serikali ifanye KAZI iliyopewa na wananchi.

Sijaelewa mantiki yake. Mi nimuumini kindakindaki wa Catholic hatushindwi kukarabati kanisa hilo.

Tukiamua Kila mbatizwa atoe tu sh 500 ukarabati utaisha fasta na chenji inabaki.

IMG-20230302-WA0002.jpg
 
Sidhani kama ni kosa, watakapotumia msaada huo kujitutumua basi hapo inageuka siasa
 
Hakuna ubaya hata ukiwa tajiri mara mojamoja jenga tabia ya kuomba hata jembe kwa jirani..

Hakuna taasisi nyeti kama dini serikali inajitahidi kuwa pamoja nazo kwenye shida na raha ila kama huo msaada ukija na majigambo na kujinadi hapo sasa unakua najisi.
 
Hii issue nachukulia kama cheap politics, kujipendekeza na kutafuta huruma Kwa viongo wa dini, Serikali ifanye KAZI iliyopewa na wananchi.

Sijaelewa mantiki yake. Mi nimuumini kindakindaki wa Catholic hatushindwi kukarabati kanisa hilo.

Tukiamua Kila mbatizwa atoe tu sh 500 ukarabati utaisha fasta na chenji inabaki.

View attachment 2534360

IMG-20230302-WA0005.jpg

IMG-20230302-WA0006.jpg
 
Kweli binadamu hana jema kabisa! Mara raisi mdini mara anajipendekeza mara eeh! Mimi sio shabiki sana wa wanasiasa ila hamumtendei haki MALIKIA WA NGUVU
 
Hapo walipofunga kanisa kwa muda wamenishangaza sana, Kwan kwa tafsiri kanisa ni nini?

Naomba kuelimishwa
 
serikali wameombwa au wanafunika kombe?
 
Kwahiyo wameshaanza kumchomga Maria mwingine? Wamchonge haraka kabla siku ya ibada haijafika tukashindwa kuabudu
 
Back
Top Bottom