1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Pesa za SERIKALI ni Kodi ya Kila MTU mpaka yule aliyetenda kosa Hilo.
Kimila haiwezekani Tena kumlaani aliyetenda kosa kwasbabu Naye ni mlipa Kodi.
Kanisa Katoliki ni kanisa lenye waumini wenye uwezo mkubwa sana kiuchumi na kimadaraka kuliko makanisa na Dini zote nchini . Hivyo NAFIKIRI INGEKUA vyema SERIKALI ikaendelea na majukumu mengine ya kumtafuta mhalifu na kuwekeza kwenye ulinzi Wa watu na Mali zao.
Tumewekeza kidogo sana kwenye ulinzi Wa raia na Mali zao. Ni Mungu tu anasaidia sana kulinda Mali za watu Kwa kiasi kikubwa .
Kama pesa zenyewe za SERIKALI ni Mikopo NADHANI ni Bora wakawaacha waumini Wa kanisa Katoliki wanaozidi milion 20 wakachanga na kukarabati kanisa lao wenyewe.
Anyway Ahadi ni deni. SERIKALI itimize Ahadi yake.
Kimila haiwezekani Tena kumlaani aliyetenda kosa kwasbabu Naye ni mlipa Kodi.
Kanisa Katoliki ni kanisa lenye waumini wenye uwezo mkubwa sana kiuchumi na kimadaraka kuliko makanisa na Dini zote nchini . Hivyo NAFIKIRI INGEKUA vyema SERIKALI ikaendelea na majukumu mengine ya kumtafuta mhalifu na kuwekeza kwenye ulinzi Wa watu na Mali zao.
Tumewekeza kidogo sana kwenye ulinzi Wa raia na Mali zao. Ni Mungu tu anasaidia sana kulinda Mali za watu Kwa kiasi kikubwa .
Kama pesa zenyewe za SERIKALI ni Mikopo NADHANI ni Bora wakawaacha waumini Wa kanisa Katoliki wanaozidi milion 20 wakachanga na kukarabati kanisa lao wenyewe.
Anyway Ahadi ni deni. SERIKALI itimize Ahadi yake.