Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadithi na porojo za mkaa mbadala zilianza miaka ya 70 enzi za Nyerere wakati Stamiko iko kileleni.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Suleiman Jafo amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuongeza uzalishaji na usambazaji wa mkaa mbadala unaotokana na makaa ya mawe ili kuokoa mazingira.
Soma hapo kwa umakini ili upate kujua ni mkaa wa namna gani unazungumziwa hapo.
Na lengo la kutumia huo mkaa mbadala na kifurushi cha gesi ya kupikia ni ili kuokoa mazingira yetu.
Ehhl!! Huku umefikaje mkuu!!!?Endelea kupikia kuni... makarani mmelipwa zaidi ya 1.4M umeshindwa nunua hata mtungi wa elf 40?
Nafikiri ningekuwa mimi Serikali ningehamasisha Watanzania waweze zalisha Na Kupikia BIOGAS unayoweza patikana toka mabaki ya vyakula- hili ndo suluisho la kudumu. Buku kwa mtanzania wa kijijini is not a jokeKatika kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia, serikali yetu itakuja na utaratibu wa kumruhusu mteja kuinunua gesi kwa bei ndogo kulingana na mahitaji yake.
Kwa sasa wengi wanashindwa kumudu kutokana na gharama kubwa zilizopo, hivyo mchakato wa kuzipunguza unaelekea mwishoni ili kulifanyia mapinduzi suala hilo.
Moja ya vikwazo kwa Watanzania kutumia gesi ni kwamba lazima uwe na fedha nyingi kwa mkupuo. Teknolojia inayoruhusu mtu kununua gesi ya Sh500 au Sh 1,000 ipo na inamwezesha mtu kununua gesi kama anavyonunua kopo la mkaa au fungu la kuni.
Kwa sasa gesi inayouzwa kwa mtungi wa kuanzia kilo sita, ni wastani wa Sh25,000 hivyo kuwa juu ya mahitaji ya baadhi ya wanaohitaji kiasi kidogo kwa matumizi yao au wasio na uwezo wa kifedha kumudu bei ya mtungi huo.
Teknolojia hiyo itakuwa mkombozi kwa Watanzania na itapunguza matumizi ya kuni na mkaa kupikia hasa kwa wananchi wa vijijini. Mazingira yetu yanafanana na India kwa kiasi kikubwa lakini wao asilimia 98 wanapika kwa kutumia gesi.
Kiuhalisia bei ya gesi ni rahisi kuliko mkaa na kuni, lakini wananchi wamezoea kununua kuni na mkaa katika vipande vidogovidogo ndio maana haionekani kuwaumiza wengi hivyo gesi inahitaji ubunifu wa kibiashara ili kuendana na uwezo na mahitaji ya Watanzania.
Chanzo: Mwananchi
Ahsanteni
Teknolojia hii tunayo M-Gas tayari.
Karibu M-Gas ujipatie kifurushi cha gesi cha kuanzia Tsh 1000.
Call/WhatsApp 0747744895
View attachment 2389441View attachment 2389442
Tutunze mistu na miti yetu kwa kuchagua kupikia M-Gas.
Mbona kuni na mkaa huwa tunanunua na tunapikia baada ya hapo tunanunua tena boss. Karibu M-Gas boss. Piga namba 0747744895 upate kuhudumiwa mapema.Bado haisaidii kitu, kwa maana kila akipika atajikuta ananunua gesi. Nani yupo tayari kununua gesi ya 2000 ambayo atapikia ndani ya nusu saa tu imeisha
Anataka auziwe mtungi elfu 3000Endelea kupikia kuni... makarani mmelipwa zaidi ya 1.4M umeshindwa nunua hata mtungi wa elf 40?
Mbona imeshaanza boss. Unaifahamu M-Gas, M-Gas wanauza gesi ya kifurushi, watu wanatumia sana.Maneno matamu utekelezaji ziro,Afrika tunafana ila sisi ni mbumbumbu kabisaa!
Mikoani pia itafika boss wala usijali.Ni jambo jema, msiwasahau wa mikoani
Sawa boss karibu sana ujipatie kifurushi cha gesi M-Gas.Hii ni biashara kama zilizvyo biashara nyingine ambapo ili ianzishwe huanza kwa kutazama fursa...
yani kiufup Tanzania kama mnala wa baber wao kwa wao lugha znaenda tofaut ssSerikali ina mipango mingi Sana isiyokuwa na cohesion..
STAMICO na Jafo wanasema wamegindua mkaa rafiki wa mazingira serikali haifanyi kitu..
Makamba anasema anazindua gas ya kupima.sasa kipi hasa ni uelekeo wa serikali?
Hii ndio habar ya mjiniNafikiri ningekuwa mimi Serikali ningehamasisha Watanzania waweze zalisha Na Kupikia BIOGAS unayoweza patikana toka mabaki ya vyakula- hili ndo suluisho la kudumu. Buku kwa mtanzania wa kijijini is not a joke
Sasa mkuu si vilevile wanachofanya m gas aka kopa gasKatika kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia, serikali yetu itakuja na utaratibu wa kumruhusu mteja kuinunua gesi kwa bei ndogo kulingana na mahitaji yake.
Kwa sasa wengi wanashindwa kumudu kutokana na gharama kubwa zilizopo, hivyo mchakato wa kuzipunguza unaelekea mwishoni ili kulifanyia mapinduzi suala hilo.
Moja ya vikwazo kwa Watanzania kutumia gesi ni kwamba lazima uwe na fedha nyingi kwa mkupuo. Teknolojia inayoruhusu mtu kununua gesi ya Sh500 au Sh 1,000 ipo na inamwezesha mtu kununua gesi kama anavyonunua kopo la mkaa au fungu la kuni.
Kwa sasa gesi inayouzwa kwa mtungi wa kuanzia kilo sita, ni wastani wa Sh25,000 hivyo kuwa juu ya mahitaji ya baadhi ya wanaohitaji kiasi kidogo kwa matumizi yao au wasio na uwezo wa kifedha kumudu bei ya mtungi huo.
Teknolojia hiyo itakuwa mkombozi kwa Watanzania na itapunguza matumizi ya kuni na mkaa kupikia hasa kwa wananchi wa vijijini. Mazingira yetu yanafanana na India kwa kiasi kikubwa lakini wao asilimia 98 wanapika kwa kutumia gesi.
Kiuhalisia bei ya gesi ni rahisi kuliko mkaa na kuni, lakini wananchi wamezoea kununua kuni na mkaa katika vipande vidogovidogo ndio maana haionekani kuwaumiza wengi hivyo gesi inahitaji ubunifu wa kibiashara ili kuendana na uwezo na mahitaji ya Watanzania.
Chanzo: Mwananchi
Ahsanteni
Teknolojia hii tunayo M-Gas tayari.
Karibu M-Gas ujipatie kifurushi cha gesi cha kuanzia Tsh 1000.
Call/WhatsApp 0747744895
View attachment 2389441View attachment 2389442
Tutunze mistu na miti yetu kwa kuchagua kupikia M-Gas.
Watanzania lazima tukubali kwenda na wakati. Teknolojia inapobadilika ili kurahisisha maisha tukubali nasisi tukubadilika.Safi