Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

Hadithi na porojo za mkaa mbadala zilianza miaka ya 70 enzi za Nyerere wakati Stamiko iko kileleni.
 
Nafikiri ningekuwa mimi Serikali ningehamasisha Watanzania waweze zalisha Na Kupikia BIOGAS unayoweza patikana toka mabaki ya vyakula- hili ndo suluisho la kudumu. Buku kwa mtanzania wa kijijini is not a joke
 
Bado haisaidii kitu, kwa maana kila akipika atajikuta ananunua gesi. Nani yupo tayari kununua gesi ya 2000 ambayo atapikia ndani ya nusu saa tu imeisha
Mbona kuni na mkaa huwa tunanunua na tunapikia baada ya hapo tunanunua tena boss. Karibu M-Gas boss. Piga namba 0747744895 upate kuhudumiwa mapema.




 
Serikali ina mipango mingi Sana isiyokuwa na cohesion..

STAMICO na Jafo wanasema wamegindua mkaa rafiki wa mazingira serikali haifanyi kitu..

Makamba anasema anazindua gas ya kupima.sasa kipi hasa ni uelekeo wa serikali?
yani kiufup Tanzania kama mnala wa baber wao kwa wao lugha znaenda tofaut ss
 
Nafikiri ningekuwa mimi Serikali ningehamasisha Watanzania waweze zalisha Na Kupikia BIOGAS unayoweza patikana toka mabaki ya vyakula- hili ndo suluisho la kudumu. Buku kwa mtanzania wa kijijini is not a joke
Hii ndio habar ya mjini
Sema serikali ina mambo yake kwenye hizo gas nyingine
 
Sasa mkuu si vilevile wanachofanya m gas aka kopa gas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…