Serikali kuja na Vitambulisho vipya kwa Machinga vitakavyodumu zaidi ya mwaka

Vije tu Tena waboreshe ikiwezekana kabla hakijapitwa na uda wawe wameshaandaa vingiii tabia naenda na pesa yng alafu wanajibu kuwa eti vimeisha sipendi, maana hawa wakata leseni za biashara niwapigaji balaa kwanza wanakuja wanapo jiskia wenyewe wakikukatia Leo wanjisahaulisha mpakamuda unapita wakikurudia sasa ndy utaomba po! Wanachukua kamtaji kote na ukilipa sasa unapewa stakabadhi ya mjimwengine shez nitaenda kulipa mwenyewe vikija kero za kufingiana biashara sizitaki tena
 
TAL in action. Hopefully every single sale will be receipted. The Marching guys are paying taxes in advance. Huu ndiyo uzalendo halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…