Serikali kujenga kiwanja kipya cha michezo jijini Arusha

Serikali kujenga kiwanja kipya cha michezo jijini Arusha

Watanzania si wapenzi wa mpira, ukiondoa mashabiki wa Yanga, Simba ambao nao viingilio huwa ni 3,000 hakuna mashabiki wengine.

Hizo gharama wanazotumia bora wajenge kama vya Azam
 
Wajenge stand kubwa ya mabasi kwanza, jiji kama hilo sio la kukosa stendi yenye hadhi kisha tukae kuwaza uwanja.
Kila kitu mnategemea Serikali mbona MWANZA wamejenga Stendi ya Nyegezi kwa pesa yao wenyewe Wana Arusha aacheni kukwepa kulipa kodi ili mjenge stendi
 
Mkoa umeshindwa kuwa na timu ya ligi kuu kwa zaidi ya miaka 10 huo uwanja ujengwe kwenye miji kama mbeya, mwanza au morogoro atleast

Hiyo sio sababu, lengo ni ku lenga na utalii ulipo eneo hilo
 
Sio kweli, mbeya zipo kama hotel 4, moro zinaweza patikana hotel 6 hivi.
Sidhani kama Mbeya na Morogoro kuna hata Hotel moja ya Nyota 5.
Pia hotel4 ni chache sana mkuu wageni wangapi watalala hotel 4??
Ndio maana game zinapelekwa Arusha na zanzibar na sio mwanza au dodomq sabab ya miundombinu na pia ku promote utaliii.. uwanja sio soka tu Arusha inafanya vema sana kwenye riadha
 
Back
Top Bottom