Tetesi: Serikali kujenga shule za vipaji kila mkoa

hasira za nini mkuu, toa maelezo. hata kama unachukia shule maalum za vipaji , vumilia. hapo ndipo taifa litatoka. shule za vipaji zimetoa watu makini sana hapa Tanzania
go to hell
 

May be it was about time.
Kuhusu chuo cha siasa, nasita. Tumewahi kuwa na Kivukoni na waliopitia hapo ndio wametufikisha tulipo. Siasa unazaliwa na mlengo au huna. Kujua nchi yako ni elimu ya uraia (civics na historia). Mshikamano - rudisheni Jeshi la kujenga taifa kama requirement baada ya form 6.
 
Tatizo la JKT hakuna mtaala mzuri wa kizalendo zaidi ya kupeana adhabu ngumu na za mateso au kukomoana.
 
Kila kukicha kujenga uwezo kujenga, shule kujenga, barabara kujenga, ofisi kujenga, polisi kujenga, mahakama kujenga, reli kujenga, maji kujenga, akili yetu ka ya fundi seremala kila tatizo gonga msumari
 
Litakuwa jambo la busara sana wasiishie hapo tu wanafunzi 100 wenye ufaulu mzuri wapelekwe nje kwenye vyuo bora.
 
Kila kukicha kujenga uwezo kujenga, shule kujenga, barabara kujenga, ofisi kujenga, polisi kujenga, mahakama kujenga, reli kujenga, maji kujenga, akili yetu ka ya fundi seremala kila tatizo gonga msumari
ujenzi wa miundo mbinu ndio maendeleo
 
Tatizo la JKT hakuna mtaala mzuri wa kizalendo zaidi ya kupeana adhabu ngumu na za mateso au kukomoana.
Kupeana adhabu ngumu, mateso na kukomoana - hayo yanaweza kurekebishwa na sheria au revised JKT regulations. Muulize saikolojia yeyote aukueleze mshikamano wa watu walioshiriki shida (percieved or real).
 
ujenzi wa miundo mbinu ndio maendeleo
sio kweli, tunatakiwa tujenge fikra za watu kwanza bila hivyo hamna tunachofanya, ndio maana tunajenga madaraja ya watembea kwa miguu watu wanajisaidia, huku kote kunatokana na watu kutokujengwa ki fikra.
 
sio kweli, tunatakiwa tujenge fikra za watu kwanza bila hivyo hamna tunachofanya, ndio maana tunajenga madaraja ya watembea kwa miguu watu wanajisaidia, huku kote kunatokana na watu kutokujengwa ki fikra.
Jenga miundo mbinu simamia sheria, Jenga shule watu wakasome, wakati wanasoma simamia sheria otherwise watageuza madarasa kuwa vyoo.

Elimu ni pamoja na kusimamia sheria,
 
Ndarichako umefikia wapi na huu mpango?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…