The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
“Mikutano hii tunayoiona ni namna Rais alivyoamua kutekeleza Diplomasia na Rais alisema anataka kuifungua nchi na moja ya namna ya kuifungua nchi ni pamoja na mikutano hii. Na mikutano mikubwa ndio inayotangazwa zaidi lakini niseme mikutano midogo ya Kimataifa ambayo inafanyika Tanzania ni mingi sana.
Kwa sasa tunataka kujenga ukumbi mwingine mkubwa sana ambao utaitwa Kilimanjaro International Convention Center na ukumbi huu unaweza kuingiza watu 3000 au 5000. Kwa sasa kuhakikisha watu 5000 wanakaa pamoja ni changamoto na tutajenga kituo hiki pale Arusha. Utalii wa mikutano ni mkubwa” - Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa
Kwa sasa tunataka kujenga ukumbi mwingine mkubwa sana ambao utaitwa Kilimanjaro International Convention Center na ukumbi huu unaweza kuingiza watu 3000 au 5000. Kwa sasa kuhakikisha watu 5000 wanakaa pamoja ni changamoto na tutajenga kituo hiki pale Arusha. Utalii wa mikutano ni mkubwa” - Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa