Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
Ni jambo zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mzee muda mwingine uwe unatumia hata hizo busara kidogo kama unazo ,aliyekuambia Arusha kampuni za tours zinamilikiwa na Wakenya ni nani ? Unaweza kunitajia kampuni tano Arusha zinazo milikiwa na Wakenya ?Mtasema sana mwaka huu...inafahamika kuwa makampuni kadhaa ya utalii huko Arusha ni ya Wakenya sasa wameanza kuisoma namba...na Wakenya wale walioingia kinyemela hukop Lushoto, Muheza na kwingineko na kuwaoa dada na mabinti 'zetu' (lakini lengo lao likiwa ni ardhi) nao wameanza kuisoma namba...
Kafikaje hapa Lowasa hata kama ni chuki hii imezidi kiongoziLkini mafisadi asiwape nafasi ya kuongea nao watu kama lowasa na wenzake
Wewe mzee muda mwingine uwe unatumia hata hizo busara kidogo kama unazo ,aliyekuambia Arusha kampuni za tours zinamilikiwa na Wakenya ni nani ? Unaweza kunitajia kampuni tano Arusha zinazo milikiwa na Wakenya ?
Haha Yaani isingekua heshima kwa wazee ,basi ningeshaingia matatizoni kwa hii ID yakoHahahahaha...nimependa comment yako, ila sikwambii kwanini nimeipenda...
Sio Wakenya tu..hata wazungu wanamiliki kampuni nyingi za utalii mfano AbacombiWewe mzee muda mwingine uwe unatumia hata hizo busara kidogo kama unazo ,aliyekuambia Arusha kampuni za tours zinamilikiwa na Wakenya ni nani ? Unaweza kunitajia kampuni tano Arusha zinazo milikiwa na Wakenya ?
ngoja nikusaidie kuisoma signature yake, imeandikw2a "Muda ni jibu tosha kwa kila uwongo"Sawa, sijakuelewa
Abbercombie and Kent, hilo nalifahamu vizuri lakini huyo mzee alitaka kusema Arusha wanaumia kisa Wakenya sijui wamefanya nini ,yaani anataka kutuamnisha tatizo la utalii Arusha ni Wakenya ila sio yule aliyesema haitaji wazungu masikini ,kama hawawezi kulipa wasijeSio Wakenya tu..hata wazungu wanamiliki kampuni nyingi za utalii mfano Abacombi
Haha Yaani isingekua heshima kwa wazee ,basi ningeshaingia matatizoni kwa hii ID yako
Tatizo hili jambo lipo serious halafu una tu mislead huku ukijua kabisa ukweli ni upi ,Nimecheka sana.....usiku mwema...lakini wakati mwingine mchezo huu kwenye JF hauhitaji hasira...
La kuahirisha safari hajashauriwa hy nakataa,labda hyo mengine nayo cna hakika,huwa hasafiri safariAkianza kusikiliza washauri na kulegeza kamba hapo tunaenda nimenote
Swala la bandari kuwafuata wafanya biashara
Swala la kuarisha safari ya Zambia na sasa kuongea na wadau !!!
Safi