Tetesi: Serikali kununua magari aina ya Ashok Leyland zaidi ya 700...

Tetesi: Serikali kununua magari aina ya Ashok Leyland zaidi ya 700...

Kibunango

Platinum Member
Joined
Aug 29, 2006
Posts
8,468
Reaction score
2,349
ambuBanner_0.jpg

Kampuni ya utengenezaji wa magari ya Ashok Leyland India, imepokea oda ya thamani ya USD 170 milloin kwa ajili ya usumbazaji wa magari na spea toka kwa serikali ya Tanzania. Pamoja na usumbazaji wa magari hayo, Kampuni hiyo inategemea kutoa mafunzo ya aina mbalimbali kwa matumizi ya magari yake.

Ukiacha Tanzania nchi nyingine barani Afrika iliyoingia biashara na Kampuni hiyo ni Cote D' Ivore ambayo inategemea kutumia Dola za kimarekani million mia mbili.
 
Washapiga pesa hapo Mkuu. Badala ya kwenda kulipa deni la bilioni 100 la MSD ili madawa muhimu yasambazwe mahospitalini nchini kipaumbele chao ni kununua magari!
Mkuu, huu ni ni mkopo toka serikali ya India, hapana shaka ni kufuatia ile ziara ya Waziri Mkuu wa India.

Kampuni ya Ashok Leyland imetangaza leo, kusambaza magari, workshop na spea kwa Tanzania. .. nimeona kwenye Business Asia News mapema jioni ya leo kupitia Luninga. .. sikuweza kashika detail nyingi zaidi za habari hii....
 
Hiyo ndio misaada ya India tutakupa na tutakuuzia hahaha wajinga ndio waliwao
 
View attachment 421602
Kampuni ya utengenezaji wa magari ya Ashok Leyland India, imepokea oda ya thamani ya USD 170 milloin kwa ajili ya usumbazaji wa magari na spea toka kwa serikali ya Tanzania. Pamoja na usumbazaji wa magari hayo, Kampuni hiyo inategemea kutoa mafunzo ya aina mbalimbali kwa matumizi ya magari yake.

Ukiacha Tanzania nchi nyingine barani Afrika iliyoingia biashara na Kampuni hiyo ni Cote D' Ivore ambayo inategemea kutumia Dola za kimarekani million mia mbili.
yaani serikali hii ya CCM badala ya kutumia fedha hizo kuwalipia wanafunzi waliokosa mikopo, wao wanakimbilia kwenda kununua magari ya washawasha ili kuwadhibiti UKAWA. hivi ni lini serikali hii itaanza kujitambua?
 
Back
Top Bottom