Mpaka watakapotoka madarakaniyaani serikali hii ya CCM badala ya kutumia fedha hizo kuwalipia wanafunzi waliokosa mikopo, wao wanakimbilia kwenda kununua magari ya washawasha ili kuwadhibiti UKAWA. hivi ni lini serikali hii itaanza kujitambua?
Ni wakati wa kulipa fadhila sasa zile Ashok za polisiView attachment 421602
Kampuni ya utengenezaji wa magari ya Ashok Leyland India, imepokea oda ya thamani ya USD 170 milloin kwa ajili ya usumbazaji wa magari na spea toka kwa serikali ya Tanzania. Pamoja na usumbazaji wa magari hayo, Kampuni hiyo inategemea kutoa mafunzo ya aina mbalimbali kwa matumizi ya magari yake.
Ukiacha Tanzania nchi nyingine barani Afrika iliyoingia biashara na Kampuni hiyo ni Cote D' Ivore ambayo inategemea kutumia Dola za kimarekani million mia mbili.
Tulipewa kama msaada sasa tunalipa fadhila [emoji15] [emoji35] [emoji15] [emoji35] [emoji15] [emoji15] [emoji84] [emoji84] [emoji84] [emoji84] [emoji84]Aaa brother kumbe upo kiongozi.. Heshima yako bro....
Gari nyingi za jeshi letu na polisi naona ni hizi ashik leyland
Washapiga pesa hapo Mkuu. Badala ya kwenda kulipa deni la bilioni 100 la MSD ili madawa muhimu yasambazwe mahospitalini nchini kipaumbele chao ni kununua magari!
Ukiyona hayo magari unapona mwenyewe!
Tulipewa kama msaada sasa tunalipa fadhila [emoji15] [emoji35] [emoji15] [emoji35] [emoji15] [emoji15] [emoji84] [emoji84] [emoji84] [emoji84] [emoji84]
Huu ni mkopo mwingine, na ni baada ya ile ziara ya Waziri Mkuu wao... Tujiandae kulipa tu!Tulipewa kama msaada sasa tunalipa fadhila [emoji15] [emoji35] [emoji15] [emoji35] [emoji15] [emoji15] [emoji84] [emoji84] [emoji84] [emoji84] [emoji84]
Inaniuma sana kuona bado tunasaini mikataba kama ile ya Mangungo wa MsoveroHuu ni mkopo mwingine, na ni baada ya ile ziara ya Waziri Mkuu wao... Tujiandae kulipa tu!
Serikali hapa haina ujanja wowote, kwani tayali walihaidiwa mkopo huu! Kwa maneno mengine serikali ya India imeamua kupitisha mkopo huu kwenye kiwanja cha magari yao...Naona hizi priorities hazijakaa sawa.Naomba niipe serikali ushauri wa bure.Hatukatai serikali kuwezesha wizara zake ili ziweze kutoa huduma bora zaidi.Lakini chonde chonde, isifanye hivyo huku wazee wakiwa hawajalipwa mafao yao.Ni aibu!Wazee hawa hawaielewi serikali yao.Tunaiomba serikali ihakikishe kwamba serikali imemaliza madeni yote ya wazee.Hili ni jambo la muhimu kuliko magari!Tusijiingize kwenye laana zisizo na lazima.Ninao ushahidi kwamba wazee wengi bado wanaidai serikali.
Kazi maalumu kwa wafanya vurugu huko ktk majimbo yanayoongoza kwa ulimwaji wa bangi.Ya kazi gani brother?