Serikali kuongeza kodi kwa vikundi vya scheme za umwagiliaji ni kukosa Hekima kwa Wanasiasa wetu

Serikali kuongeza kodi kwa vikundi vya scheme za umwagiliaji ni kukosa Hekima kwa Wanasiasa wetu

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Waziri wa fedha amesoma bajeti na tunaendelea kuichambua kipengele kimoja baada ya kingine. kwa ufupi ni kwamba wanasiasa wameshindwa kutatua changamoto zetu.

Wakati taifa likiwa katika mtanzuko mkubwa wa ajira na kuhimiza vijana wetu waegemee zaidi kilimo hasa cha umwagiliaji, Serikali imeamua kuwavunja moyo kwa kuongeza kodi katika uanzishwaji wa vikundi vya umwagiliaji. Je tuendelee kuwaamini hawa AKILI ndogo katika kutuongoza?

cc Mwigulu Nchemba
 
Hili wala sio zigo la Mwigulu wala Wizara ya Fedha, hili ni pendekezo la SSH, hadi aibu kulitamka, hivi unasisitiza wakulima wa umwagiliaji waongezewe kodi halafu wafanyabiashara wasamehewe kodi, hapo ndio utaona ujinga wa kuwa na Rais asiyejielewa.
 
Siku tutakapoanza mjadala wa wazi kujadili mishahara , posho na stahiki za viongozi na watendaji wao na kufanya maamuzi ya kupunguza kile wanachopata ndipo tutaanza kuona mabadiliko ya kiutendaji sababu watu serious ndio wataingia kuongoza hawa wachumia tumbo hawataona faida ya kujiingiza katika siasa.

Na kodi zitaenda mahala husika.
 
Waziri wa fedha amesoma bajeti na tunaendelea kuichambua kipengele kimoja baada ya kingine. kwa ufupi ni kwamba wanasiasa wameshindwa kutatua changamoto zetu.

Wakati taifa likiwa katika mtanzuko mkubwa wa ajira na kuhimiza vijana wetu waegemee zaidi kilimo hasa cha umwagiliaji, Serikali imeamua kuwavunja moyo kwa kuongeza kodi katika uanzishwaji wa vikundi vya umwagiliaji. Je tuendelee kuwaamini hawa AKILI ndogo katika kutuongoza?

cc Mwigulu Nchemba
Mwigulu ni mbulura sana
 
Wakulima nao waanze kulipa Kodi stahiki commercial farmers walipe.
Toa ujinga hapa, hivi mtu mwenye eka zake 5 za umwagiliaji ni commercial farmer, SSH hana vision kabisa, ataenda kupandisha bei za vyakula na kuleta inflation sababu ya maamuzi yake ya kukurupuka yanaonyesha kichwani mtupu.
 
Toa ujinga hapa, hivi mtu mwenye eka zake 5 za umwagiliaji ni commercial farmer, SSH hana vision kabisa, ataenda kupandisha bei za vyakula na kuleta inflation sababu ya maamuzi yake ya kukurupuka yanaonyesha kichwani mtupu.
Tunamuunga mkono Mama we unafahamu kuwa hao Wakulima huwa hawalipi hata Kodi ya Ardhi,sasa kwanini sisi Wafanyabiashara tulipe Makodi yote ya Nchi na wao waburudike na free ride hapana
 
Back
Top Bottom