Kwani Mbatizaji unasemaje katika hili?Sukari siyo cement bwashee!
Kwani Sukari haizalishwi viwandani?Sukari siyo cement bwashee!
Jana nimenunua cement pale kunduchi sh 14,000/=Kwani Mbatizaji unasemaje katika hili?
Swali la kijiweni!Kwani Sukari haizalishwi viwandani?
Anapiga ngumi ukuta. Je, swala la sukari, mafuta ya kula limeishia wapi? Supply more then bei chini.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara ikamilishe utaratibu wa kuwa na bei kikomo ya saruji ili kuuwezesha kila mkoa kujua bidhaa hiyo inapaswa kuuzwa kwa bei gani kwa nia ya kuondoa upandishwaji holela unaofanywa na wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu...
Watanzania ,watanganyika na wazanzibar wanakatishwa tamaa na baadhi ya wanasiasa na maamuzi yao, hivyo wanaamua kuachana na mambo ya kufatilia Siasa!Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara ikamilishe utaratibu wa kuwa na bei kikomo ya saruji ili kuuwezesha kila mkoa kujua bidhaa hiyo inapaswa kuuzwa kwa bei gani kwa nia ya kuondoa upandishwaji holela unaofanywa na wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu...