Serikali Kupeleka Magari Mawili ya Wagonjwa Kila Wilaya Nchini Ifikapo Agosti Mwaka huu 2023

Serikali Kupeleka Magari Mawili ya Wagonjwa Kila Wilaya Nchini Ifikapo Agosti Mwaka huu 2023

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Serikali inayoongozwa na Rais
Dk. Samia Suluhu Hassan, itapeleka magari mawili ya wagonjwa na moja la kusaidia shughuli za usimamizi wa masuala ya afya katika wilaya nchini ifikapo Agosti mwaka huu.

Akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mpwampwa, Chongolo pia alielekeza Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya' Afya, kuhakikisha vituo vya kutolewa huduma za afya vinawekewa vifaa tiba kabla ya mwisho wa mwezi Agosti mwaka huu.

"Serikali iandike kuwa hili gari ni la usimamizi na si la mkurugenzi, kwa sababu kuna tabia ya wakurugenzi kuondoka na gari la usimamizi eti anaenda katika kikao Dodoma au Morogoro huku huduma zinasimama. Mkurugenzi kama hana gari, apande basi wananchi waendelee kuwa na uhakika wa huduma.

"Tufike mahali tuone umuhimu wa kuwahudumia wananchi, hatutaona shida ya kutumia usafiri wa aina yoyote. Kama gari lako bovu gari la afya sio mbadala wake, na hivyo hivyo kwa magari ya elimu au mengine yanayopelekwa kwa shughuli maalum.
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Serikali inayoongozwa na Rais
Dk. Samia Suluhu Hassan, itapeleka magari mawili ya wagonjwa na moja la kusaidia shughuli za usimamizi wa masuala ya afya katika wilaya nchini ifikapo Agosti mwaka huu.

Akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mpwampwa, Chongolo pia alielekeza Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya' Afya, kuhakikisha vituo vya kutolewa huduma za afya vinawekewa vifaa tiba kabla ya mwisho wa mwezi Agosti mwaka huu.

"Serikali iandike kuwa hili gari ni la usimamizi na si la mkurugenzi, kwa sababu kuna tabia ya wakurugenzi kuondoka na gari la usimamizi eti anaenda katika kikao Dodoma au Morogoro huku huduma zinasimama. Mkurugenzi kama hana gari, apande basi wananchi waendelee kuwa na uhakika wa huduma.

"Tufike mahali tuone umuhimu wa kuwahudumia wananchi, hatutaona shida ya kutumia usafiri wa aina yoyote. Kama gari lako bovu gari la afya sio mbadala wake, na hivyo hivyo kwa magari ya elimu au mengine yanayopelekwa kwa shughuli maalum.
Kheeee 😳😳, mbona issue ndogo ilipaswa isiwe habar kbs! Ambulance mpya bei chee kwa serikali!!
 
Mbona hi nchi masikini ambulance mbili tu wilaya nzima tafadhari BP World karibuni sana muwekeze
 
Karne ya 22 Tanzania tunazungumzia kuwa na ambulance mbili kila wilaya!,mimi nilijua huyu SG wa ccm anazungumzia kuwa kila wilaya iwe na air ambulance mbili!,SG umechelewa Sana, wenzetu wamepaki air ambulance kwenye freeways in case of emergencies, jumapili leo ngoja niendelee kunywa ulanzi wangu hapa lingusenguse, by the way SG pls karibu huku,kijiji hiki kimesahaulika kabisa hata ziara hakuna za watawala
 
Awamu ya sita porojo nyingi utendaji hakuna.
 
Karne ya 22 Tanzania tunazungumzia kuwa na ambulance mbili kila wilaya!,mimi nilijua huyu SG wa ccm anazungumzia kuwa kila wilaya iwe na air ambulance mbili!,SG umechelewa Sana, wenzetu wamepaki air ambulance kwenye freeways in case of emergencies, jumapili leo ngoja niendelee kunywa ulanzi wangu hapa lingusenguse, by the way SG pls karibu huku,kijiji hiki kimesahaulika kabisa hata ziara hakuna za watawala
Labda siyo Tanzania,Nimekaa pàle
 
Nunua machine za kupima ubongo na nerve za mwili. Watu wanaumwa maumivu na kupoteza fahamu.
 
Gari za wagonjwa hizi ukipewa rufaa kila siku gari halina mafuta, wangapi wanamudu?
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Serikali inayoongozwa na Rais
Dk. Samia Suluhu Hassan, itapeleka magari mawili ya wagonjwa na moja la kusaidia shughuli za usimamizi wa masuala ya afya katika wilaya nchini ifikapo Agosti mwaka huu.

Akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mpwampwa, Chongolo pia alielekeza Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya' Afya, kuhakikisha vituo vya kutolewa huduma za afya vinawekewa vifaa tiba kabla ya mwisho wa mwezi Agosti mwaka huu.

"Serikali iandike kuwa hili gari ni la usimamizi na si la mkurugenzi, kwa sababu kuna tabia ya wakurugenzi kuondoka na gari la usimamizi eti anaenda katika kikao Dodoma au Morogoro huku huduma zinasimama. Mkurugenzi kama hana gari, apande basi wananchi waendelee kuwa na uhakika wa huduma.

"Tufike mahali tuone umuhimu wa kuwahudumia wananchi, hatutaona shida ya kutumia usafiri wa aina yoyote. Kama gari lako bovu gari la afya sio mbadala wake, na hivyo hivyo kwa magari ya elimu au mengine yanayopelekwa kwa shughuli maalum.
Labda matela ya kukokotwa na ng'ombe
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Serikali inayoongozwa na Rais
Dk. Samia Suluhu Hassan, itapeleka magari mawili ya wagonjwa na moja la kusaidia shughuli za usimamizi wa masuala ya afya katika wilaya nchini ifikapo Agosti mwaka huu.

Akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mpwampwa, Chongolo pia alielekeza Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya' Afya, kuhakikisha vituo vya kutolewa huduma za afya vinawekewa vifaa tiba kabla ya mwisho wa mwezi Agosti mwaka huu.

"Serikali iandike kuwa hili gari ni la usimamizi na si la mkurugenzi, kwa sababu kuna tabia ya wakurugenzi kuondoka na gari la usimamizi eti anaenda katika kikao Dodoma au Morogoro huku huduma zinasimama. Mkurugenzi kama hana gari, apande basi wananchi waendelee kuwa na uhakika wa huduma.

"Tufike mahali tuone umuhimu wa kuwahudumia wananchi, hatutaona shida ya kutumia usafiri wa aina yoyote. Kama gari lako bovu gari la afya sio mbadala wake, na hivyo hivyo kwa magari ya elimu au mengine yanayopelekwa kwa shughuli maalum.
Siasa tu hizo, danganya wadanganyika kama kawaida.
 
Hivi ile project ya motorcycle ambulance imeshakua cold case
 
Back
Top Bottom