The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
- Thread starter
- #21
Tuna akili na Sheria za kijamaa Bado zisizo na msingiNdani ya EA ...Rwanda, Uganda, Kenya usafiri wa umma 24/7 kigali soko wanafunga saa 6 usiku... Bank saa nne usiku kwanini uchumi usikimbie. Sisi tunafukuzana na muda kuwahi bank ikifika saa 9:30 alasili huingii... sokoni ikifika saa 1130 jioni huingii... maduka makubwa kufunguliwa mpaka saa 3 mengine saa4 kufungwa saa 10 ujinga mzigo sana.