Serikali kupitia LATRA yaruhusu mabasi ya abiria kuanza safari za mikoani Saa 11 Aflajiri

Tuna akili na Sheria za kijamaa Bado zisizo na msingi
 
Sababu ya majambazi
kwahiyo unataka kusema kuwa majambazi wana nguvu kuliko Polisi wetu?!

sidhani kama ni sahihi, Jeshi letu likiamua kulinda usalama kwenye eneo hilo kuanzia Wilaya ya Kaliua Hadi Kigoma wasafiri watasafiri masaa 24 bila tatizo.

Nchi yetu ni huru na salama bali tunajitia hofu ya bure tu.

Mabasi ya kwenda Mkoa wa Kigoma kutoka Dsm yasilale Kaliua yaendelee na safari.
 

Mikoa mabasi yanayolala njiani ni kagera na kigoma, musoma hawalali sababu ya barabara yao haina changamoto za kiusalama japo ni mbali kuliko hata kigoma, barabara ya Tabora kigoma ingemalizika lami, ingesaidia maana Dar to mpanda naona wao ni siku moja tu wanefika,
 
kwahiyo unataka kusema kuwa majambazi wana nguvu kuliko Polisi wetu?!

sidhani kama ni sahihi, Jeshi letu likiamua kulinda usalama kwenye eneo hilo kuanzia Wilaya ya Kaliua Hadi Kigoma wasafiri watasafiri masaa 24 bila tatizo.

Nchi yetu ni huru na salama bali tunajitia hofu ya bure tu.

haiwezekani tuwaachie majambazi kutatiza safari zetu za kibiashara.
hata mikoa ya Iringa ilikuwa ikifika saa 6 usiku huruhusiwi kupita maeneo ya Ihefu kutokana na hali ya usalama lkn siku hizi huna ujinga huo.

Mabadi ya kwenda Mkoa wa Kigoma kutoka Dsm yasilale Kaliua yaendelee na safari.
 
Kuna watu wameshindwa kutekeleza jukumu lao la kuhakikisha usalama wa raia na mali zao hvo wameamua kuangushia zigo kwa wananchi kwa kuwalazmisha kuwahi kufunga biashara na kuchelewa kufungua mfano bank znafunga saa 10.30 jion na kufungua saa 2.30 asubuh,,,,,

Technicall kuna masaa 8 tu kati ya masaa 24 ya sku nzma ya mteja kwenda bank!!!!!! Thats nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…