Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inasambaza mitungi ya gesi 13,020 mkoani Shinyanga.
Mitungi ya gesi ya kilo 6
yenye thamani ya shilingi milioni 545.538, Itasambazwa kwa bei ruzuku ya shilingi 20,950, badala ya shilingi 41,900
Lengo ni kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuokoa mazigira na afya za watu.
Nishati Safi ya Kupikia ni Ajenda ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
Mitungi ya gesi ya kilo 6
yenye thamani ya shilingi milioni 545.538, Itasambazwa kwa bei ruzuku ya shilingi 20,950, badala ya shilingi 41,900
Lengo ni kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuokoa mazigira na afya za watu.
Nishati Safi ya Kupikia ni Ajenda ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan