Kazi yoyote ambayo haizalishi huduma wala bidhaa inayosaidia jamii husika, ni kazi ya kishaitwani tu. Ni kazi feki.
Furaha yoyote unayoipata bila kupitia kuwafurahisha wanajamii fulani, labda umewalisha, umewaburudisha, umewatibu, umewafundisha, umewasogezea bidhaa [biashara], umewaongoza kwenye maendeleo etc............ furaha zisizo na elementi yoyote ya watu ni furaha feki.
Kazi yoyote ambayo haina uhusiano wa moja kwa moja [direct proportionality] kati ya juhudi na matokeo haiwezi kumpa mtu utoshelevu ile satisfication ya ndani.
Pamoja na mengine mengi yanafanya kubeti kusiwe jambo la kushadadia kama kazi rasmi.
Kubeti kubakie tu kama mchezo wa kujifurahisha hapo sina pingamizi. Kama betting ndo tunategemea itukwamue tunajidanganya ---- Focus iwe kwenye uzalishaji bidhaa na huduma/product and services