Serikali kupunguza waombaji mikopo vyuo vikuu.

Serikali kupunguza waombaji mikopo vyuo vikuu.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,917
Reaction score
11,801
Kuanzia mwaka wa masomo 2014/2015 waombaji wapya watatakiwa kuwa na alama(cut off) 4.0 katika kozi zote za sanaa, kwa kigezo hiki kuna watu wengi sana watanyimwa mikopo kwa kushindwa kufikisha alama hizo.
source:TCU guide book.
 
Kuanzia mwaka wa masomo 2014/2015 waombaji wapya watatakiwa kuwa na alama(cut off) 4.0 katika kozi zote za sanaa, kwa kigezo hiki kuna watu wengi sana watanyimwa mikopo kwa kushindwa kufikisha alama hizo.
source:TCU guide book.

hope na grade zitashukaa...mkuu Molembe
 
Last edited by a moderator:
Kuanzia mwaka wa masomo 2014/2015 waombaji wapya watatakiwa kuwa na alama(cut off) 4.0 katika kozi zote za sanaa, kwa kigezo hiki kuna watu wengi sana watanyimwa mikopo kwa kushindwa kufikisha alama hizo.
source:TCU guide book.

Acha kupotosha watu....TCU guidebook cutpoints ni 2.0 kwa arts&science....Points zinatofautiana kutokana na chuo unachoomba...baed udom &saut ni 2.5....UDSM baed 5.0 from 3 subjects....kwahiyo usidanganye watu ukafiri hatujachimbua hiyo guidebook 2014/2015
 
Acha kupotosha watu....TCU guidebook cutpoints ni 2.0 kwa arts&science....Points zinatofautiana kutokana na chuo unachoomba...baed udom &saut ni 2.5....UDSM baed 5.0 from 3 subjects....kwahiyo usidanganye watu ukafiri hatujachimbua hiyo guidebook 2014/2015

brother acha kuwapa watu moyo mtoa mada yupo sahihi kabisa,soma ukrasa wa kumi kipengele cha nane "student loan" Mtoa mada uko sahihi kabisa kibundi wa getto umesoma ya mwaka jana!!
 
bwanah hyoo tumezoea ila bunge la katiba mamboo pouwah kabsa 300,000 per day,haya bwanah si wengne ukifika mchana tunaanzisha story ww mpaka njaa inakata
 
Acha kupotosha watu....TCU guidebook cutpoints ni 2.0 kwa arts&science....Points zinatofautiana kutokana na chuo unachoomba...baed udom &saut ni 2.5....UDSM baed 5.0 from 3 subjects....kwahiyo usidanganye watu ukafiri hatujachimbua hiyo guidebook 2014/2015

soma tcu guide book vizuri......mtoa mada yupo sahihi.

for ARTS programe courses ili upate mkopo ni lazima cutting point iwe zaidi ya 4....!!
 
na kweli,,arts msomee bhana sio kwenda kuchukua mabumu tuu aaah inakera nenden certificates uko
 
Halafu mibunge ya ccm inapayuka bunge la katiba kuwa serikali 3 ni mzigo. Mbona hata hz mbili watu hawapewi mikopo na sasa wamepandisha cut off?
Wanaleta siara kwenye uhalisia. Kama wanaona kuwa kwa kufuata matakwa ya wananchi itakuwa gharama, watwambie tukifuata watakavyo watatimiza mahitaji ya watanzania?
 
Acha kupotosha watu....TCU guidebook cutpoints ni 2.0 kwa arts&science....Points zinatofautiana kutokana na chuo unachoomba...baed udom &saut ni 2.5....UDSM baed 5.0 from 3 subjects....kwahiyo usidanganye watu ukafiri hatujachimbua hiyo guidebook 2014/2015

Mkuu kwenye mambo ya Elimu huwa sikurupuki.
 
point 4 ni sawa na e mbili na d moja hyo ni div 3 ya 14.sasa kama hata hyo hujapata utamlaum nani?
 
8. Students Loan
Those intending to finance their studies through student loans should be aware that the Government has set
priority programmes for which applicants can expect to get loans. The Guidebook indicates the priority and
non-priority programmes and possible loan amount for priority programmes in order to help applicants prepare
themselves in finding alternative sources of financing their studies.
Note: For all Arts Education based programmes the loan will be considered based on those with at least
4.0 points in their A-Level grades based on the old grading system.
Applicants are advised to carefully go through the criteria for one to qualify for student loans as spelt out by the
Higher Education Students’ Loans Board before selecting programmes and submitting their applications. This
information can be obtained from the Board’s website Higher Education Students' Loans Board. Students should also pursue other
financing options rather than relying wholly on the HESLB.
 
Back
Top Bottom