Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tunajivunia nyungu na maombiKwa kuwa ni kinga hata kama kwa sasa hakuna Covid-19 hapa Tz kudungwa ni muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajivunia nyungu na maombiKwa kuwa ni kinga hata kama kwa sasa hakuna Covid-19 hapa Tz kudungwa ni muhimu
Hii ni zaidi ya chanjo, 2021 itashuhudia changamoto nyingi mno dhidi ya usalama wa mwanadamu. Hii wala si ramli chonganishi bali ni kutimia kwa unabii kuhusu nyakati za mwisho.
Wacha uchochezi kwetu hakuna corona maana tulishafanya maombi
Acha ubwegeHii ni zaidi ya chanjo, 2021 itashuhudia changamoto nyingi mno dhidi ya usalama wa mwanadamu. Hii wala si ramli chonganishi bali ni kutimia kwa unabii kuhusu nyakati za mwisho.
Bora wakae Kimya tu, wanatoa Tamko kwani kuna aliyewalazimisha kutumia hiyo chanjo ?Dar es Salaam, The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon.
Many countries around the world are rolling out the vaccine following discovery and distribution of the Covid-19 vaccine by rich countries, with the majority of poor countries subscribing to access the technology.
On Wednesday, Britain approved a low-cost vaccine developed by the University of Oxford and the drug firm AstraZeneca, making it the third jab to win approval in the West, after the Pfizer-BioNTech and Moderna vaccines.
Tanzania has persistently been silent for a long time on its stand to use or not to use the Covid-19 vaccines, as the government maintains that there are no Covid-19 patients.
Speaking during her official tour of Muhimbili National Hospital (MNH) in Dar es Salaam yesterday, Dr Gwajima told The Citizen that the government will soon issue an official statement on the matter.
“I cannot tell (the reporter) you now; but we (government) will issue a public statement soon. So, be patient,” she said as she was touring different departments at the national hospital.
Source: The Citizen
Kwa mujibu wa mungu wa Burigi, hamna.Kwani bongo tuna ugonjwa wa corona?
Hakika tumelaaniwaKwa mujibu wa mungu wa Burigi, hamna.
Kwa mujibu wa Ndugai, hairuhusiwi kuulizauliza.
He he he wacha weeHakuna kutoa tamko leteni chanjo tujidunge nani asiye ogopa Corona? bwana mkubwa tu alikimbilia mafichoni kwa muda.
Ubwege ni kukosa ufahamu wa nini hasa kinachoendelea hivi sasa hapa duniani.Acha ubwege
Ubwege zaidi ni kuaminishwa ujinga na wajinga nawe ukaaminiUbwege ni kukosa ufahamu wa nini hasa kinachoendelea hivi sasa hapa duniani.
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Labda ni tamko kuwa hiyo chanjo inaongeza nguvu za kiume, inarefusha na kunenepesha maumbile.Bora wakae Kimya tu, wanatoa Tamko kwani kuna aliyewalazimisha kutumia hiyo chanjo ?