Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Coronavirus

Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Coronavirus

Hakuna unabii wowote,utapeli mtupu na vitisho vya kijinga tu.
Hii ni zaidi ya chanjo, 2021 itashuhudia changamoto nyingi mno dhidi ya usalama wa mwanadamu. Hii wala si ramli chonganishi bali ni kutimia kwa unabii kuhusu nyakati za mwisho.
 
Waliosema hawahitaji chanjo hiyo badala yake tujikite kwenye mizizi ni akina nani ?
 
Sayansi ishike hatamu kwenye maamuzi ya hili. Yaani Wanataaluma wahusika (madaktari) ndio watuongoze kwenye maamuzi na sio wanasiasa.
 
Ole wenu mjichanganye mseme hamtaki chanjo mtajibeba..
 
Hii ni zaidi ya chanjo, 2021 itashuhudia changamoto nyingi mno dhidi ya usalama wa mwanadamu. Hii wala si ramli chonganishi bali ni kutimia kwa unabii kuhusu nyakati za mwisho.
Acha ubwege
 
Dar es Salaam, The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon.

Many countries around the world are rolling out the vaccine following discovery and distribution of the Covid-19 vaccine by rich countries, with the majority of poor countries subscribing to access the technology.

On Wednesday, Britain approved a low-cost vaccine developed by the University of Oxford and the drug firm AstraZeneca, making it the third jab to win approval in the West, after the Pfizer-BioNTech and Moderna vaccines.

Tanzania has persistently been silent for a long time on its stand to use or not to use the Covid-19 vaccines, as the government maintains that there are no Covid-19 patients.

Speaking during her official tour of Muhimbili National Hospital (MNH) in Dar es Salaam yesterday, Dr Gwajima told The Citizen that the government will soon issue an official statement on the matter.

“I cannot tell (the reporter) you now; but we (government) will issue a public statement soon. So, be patient,” she said as she was touring different departments at the national hospital.

Source: The Citizen
Bora wakae Kimya tu, wanatoa Tamko kwani kuna aliyewalazimisha kutumia hiyo chanjo ?
 
Wawe makini tu hapa tafadhali kwani kuna Mtego ambao wametegwa na kuna Uwezekano wasipotumia vyema Akili zao wataungia na Kutegeka.
 
Back
Top Bottom