Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Korona inayotolewa na WHO kwa nchi mbalimbali duniani

Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Korona inayotolewa na WHO kwa nchi mbalimbali duniani

Ukweli sina imani na hizo chanjo ambazo hatukushirikishwa uandaaji wake! Na hatujapewa muda wa kuzifanyia uchunguzi sisi wenyewe! Usalama wa Afya za watanzania ni jukumu muhimu na la kwanza kwa wanaoitakia mema Tanzania
Vifaa vyote unavyotumia ni vya mzungu,, sasa sijui unaimani nini!!!
Dunia ni ya Mungu,, mali zote za mzungu
 
Tubadilike! Hatuwezi kujinasibu kujitegemea kama baadhi yetu wanaamini hawawezi kujitegemea bali watu wang'ambo ndiyo wana wajabu wakujali ustawi wetu kwa masharti yoyote wanayotaka tufuate hadi kwenye afya zetu!.

Hivi, mnadhani wachina wangekubali 'akili' hizi za 'wajapani na waingereza' wanachotaka wafanye tu wao wachina hawana namna ya kuwazuia, China ingefika hapa ilipo!? Hata hivyo, wachina waliwafunga kengele shingoni baadhi ya wachina wenzao waliojifanya paka !

Na mimi nilishasema kwenye baadhi ya nyuzi humu jamvini kuwa kuna baadhi yetu wanatakiwa wafungwe kengele shingoni! Nadhani ni wakati sasa, hao baadhi yetu wasitulazimishe sisi tuwaone paka na kisha tuwafunge kengele shingoni!

Niongeze "volume"?
 
Nyie ndio aina ya wanaume ambao mkeo anaweza kuwa anagongwa nyumbani kwako tena kwenye kitanda chako na mabao yake anafutia taulo zako na mkeo anafua hayo mashuka na taulo kwenye mabeseni yako kwa kutumia sabuni yako na maji unayolipia bili kila mwezi. Na still akaja mtamblisha huyo mwanaume kuwa ni ndugu yake na utakubali.

Sasa wewe unahisi ni salama sisi kuletewa kitu kinachoitwa chanjo kwa ugonjwa ambao hauna madhara na sisi na ni ugonjwa ambao story zake ni za kuunga unga..... Hivi hiyo corona ingekuwepo na kwa namna inaambukiza sasa hivi bongo si kila nyumba tungekuwa tumefunga turubai....?!


Kelele tu kama chura kisimani.

Chanjo za ndui, surua, tetekuwanga, dondakoo, polio nk, watoto hawakuchanjwa huku kwetu??--- ni kitenggo gani hapa nchini kilikaa kuchunguza ubora wa hizo chanjo???, ni elimu gani tuliyonano juu ya chanjo, chanjo zote zinatoka kwa hao wazungu wewe unayojeuri gani kujifanya kususia chanjo zao, dawa tu ya kutibu malaria huwezi kuitengeneza sembuse chanjo!!??

Hawa watu wakitaka kutuua wanaweza sana na zipo njia nyingi.

Wewe ni ile.jamii ya watu mnaojiona mmeweza kuwadhibiti wake zenu wasichepuke kumbe wakienda saluni wanapigiwa humohumo saluni na vidume vya saloon akarudi home anakupa kicheko cha huba na wewe unajiona anakupenda sana, zwazwa wee.
 
Dar es Salaam. The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon...
Umelenga kuwahabarisha mabeberu nini?Sisi ambao hatukupanda school bus unatusaidiaje?
 
Tubadilike! Hatuwezi kujinasibu kujitegemea kama baadhi yetu wanaamini hawawezi kujitegemea bali watu wang'ambo ndiyo wana wajabu wakujali ustawi wetu kwa masharti yoyote wanayotaka tufuate hadi kwenye afya zetu!..
Kuna umuhimu wa kuanzisha consetration camps Tanzania kama zile za Hitler wajazwe maccm humo kisha wateketezwe kwa gesi maana ni hasara tupu kwa Taifa.
 
Hiyo serikali iliyosema Tanzania hakuna Corona halafu wakaomba msaada wa kupambana na hiyo hiyo Corona hata siiamini wala kuielewa, huyo Waziri atakuja na tamko fulani la kujichanganya tu.

Kutokuwa na vita nchini kwako hakukufanyi kutokujiandaa kijeshi. Hebu tulitendee jukwaa haki yake!.
 
Kuna umuhimu wa kuanzisha consetration camps Tanzania kama zile za Hitler wajazwe maccm humo kisha wateketezwe kwa gesi maana ni hasara tupu kwa Taifa.
Matola aaaa! Ha ha haa! naona jiwe limetua utosini huko gizani! Ha ha haaa!
 
Nashauri hata tusipo opt kuibugia tuizime kidiplomasia na si ki ramli na majigambo
 
Mbona ile ya Madagascar ililetwa faster, hii ya kizungu ina tatizo gani?
 
Back
Top Bottom