Serikali Kuu ya JamiiForums

Dada mimi nakubishana is where and where πŸ˜‚πŸ™† sijui kubishana sijui kuandika comment ndefu kama za Karma au zako

Wajumbe wa kamati ya burudani na michezo uko at least nikiwa sambamba na Saint anne πŸƒπŸƒ
Hahahaa.!!
Mdogo wangu Depal ukisema comment ndefu una refer ipii??
Kwanini lakini unanitafuta uchokozi?? Ama na wewe unataka kulinganisha vidole??
 
Mimi nakua TERRORIST la Taifa ndani ya Jf πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nitawatesa sna
 

Tuheshimiane sana mkuu sijawahi kupinduliwa, CDF ni "ONE STAR GENERAL" KOZO OKAMOTO MJAPANI WA KIKURYA
 
Kwa hiyo unakubali kupewa cheo kisichokuwepo?nyie ndio mnaouza nchi.kuhusu kujulikana hilo wala halinisumbui maana hata nikijulikana humu sipati chochote mi nimemkumbusha tuu cheo ulichopewa hakipo ila kama unakubaliana nae kupewa cheo hewa hongera sana nikutakie kazi njema yako ya cheo hewa
 

Naona Kutokutajwa Kumekuuma kweli kweli Wewe Boya. Pole sana na jitahidi uwe na Michango yenye Tija na Akili nyingi nawe Siku moja utakumbukwa tu. Wengine ID's zetu tayari zimeshakuwa ni ' Brand ' hapa Jamvini JamiiForums na ndiyo maana tunajulikana Kuanzia Ikulu, Idarani Kote ya Upanga hadi Oysterbay, Bungeni, Polisi, Mahakamani, sehemu za Burudani ( Kumbi za Muziki na Mipirani ) na bila Kusahau hadi Vyuoni ambako jina au ID ya GENTAMYCINE huwa inazungumzwa na Kujadiliwa mno. Hivi Mtu ukiwa ni ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' utaacha Kuzungumzwa na Kufuatiliwa 24/7 hapa?
 
Inawezekana hata DSM haujawahi fika uko huko mugumu vijijini unalima vinyungu
 
Yaani Waziri unampa . GENTAMYCINE. Muondoe bila hivyo naondoa like yangu au umpe cheo cha polepole.
Tafadhali mpe cheo cha katibu mwenezi wa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…