Serikali Kuu ya JamiiForums

Serikali Kuu ya JamiiForums

Nyuzi zako, ile mipangilio kuiamishia kwenye comments ni kazi nyepesi 😀😀🏃🏃
😂 😂 😂
Huwa nakuambia kila siku, usikimbie kwenye comments zako mdogo wangu, najikutaga nacheka unavyokimbia, halafu content naachana nayo!!
 
"E="britanicca, post: 33552165, member: 290488"]
Chenge wewe
[/QUOTE]"
😂😂😂😂 nitake radhi mkuu
 
Waacha wagawianeni vyeo lakin tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF

Rais - Mheshimiwa Kiranga
Makamu wa Rais- Shunie
Waziri Mkuu- Pascal Mayalla
Msemaji wa Serikali Mwifwa
Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume

Waziri wa Mipango na Fedha - BAK
Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu
Waziri Wa mambo ya ndani britanicca
Waziri Wa Kilimo jmushi1
Waziri Wa sayansi na teknolojia barafu

Waziri Wa ujenzi Daudi Mchambuzi

Waziri Wa habari Papa Mobimba

Waziri Wa sanaa jinsia na watoto manengelo

Waziri Wa utamaduni Sky Eclat

Waziri wa ulinzi na usalama Wa Taifa GENTAMYCINE
Waziri wa afya Mshana Jr
Spika Wa Bunge joanah

Naibu spika Karma

CAG Mzigua90

CDF Atoto

IGP Sakayo


Jaji Mkuu peter e mselewa
DGIS Baba Swalehe
Kambi rasmi ya Upinzani
Mkuu wake ni Kigogo2014

Msaidizi venchwa

Abinder seth Wa Taifa luambo makiadi

Au siyo
Mbona IGP mkuu, mejikuta nacheka tuu mimi jamani!!
 
Back
Top Bottom