Tetesi: Serikali kuunda tume ya kimahakama kuchunguza sintofahamu kuhusu utekaji na utesaji wa raia

Tetesi: Serikali kuunda tume ya kimahakama kuchunguza sintofahamu kuhusu utekaji na utesaji wa raia

Amani iwe nanyi, tetesi nilisozipata zinatabiri kwamba Serikali imeshaunda task force kuchunguza na kubaini wahusika wa vitendo vya utekaji na utesaji dhidi ya raia na huenda ikaundwa tume huru ya kimahakama kuchunguza shambulio la Dodoma dhidi ya Lissu.

Kwa ushahidi wa mazingira kupitia vyanzo vya habari kama magazeti na mitandao ya kijamii ndugu Tundu Lissu ana mgogoro wa malumbano na wapinzani watatu ambao ni,

1. Mgogoro na wawekezaji wote tu mashahidi.

2. Mgogoro na serikali kwani amekuwa mkosoaji mkuu

3. Mgogoro na maadui ndani ya chama hasa kuelekea mbio za urais 2020.

Kwa mazingira haya ni vigumu sana kubashiri ni nani hasa alitaka kumuua ndugu Tundu Lissu.

Nawasihi tuwe wavumilivu na wenye subra tuache ushabiki na ukada kwa suala linalohusu maisha ya mtu.

Mwisho naona kama kweli serikali itaunda tume ya kimahakama inaweza kuleta mwarobaini dhidi ya vitendo vya kidhalimu vinavyoota mizizi kila kukicha, hatujui kesho itatokea kwa nani.

Mungu ibariki Tanzania
mungu ibariki Tanzania
 
Hivi si bora kunyamaza tu....ndo nn hiki mtu mzima unaandika?
 
Amani iwe nanyi, tetesi nilisozipata zinatabiri kwamba Serikali imeshaunda task force kuchunguza na kubaini wahusika wa vitendo vya utekaji na utesaji dhidi ya raia na huenda ikaundwa tume huru ya kimahakama kuchunguza shambulio la Dodoma dhidi ya Lissu.

Kwa ushahidi wa mazingira kupitia vyanzo vya habari kama magazeti na mitandao ya kijamii ndugu Tundu Lissu ana mgogoro wa malumbano na wapinzani watatu ambao ni,

1. Mgogoro na wawekezaji wote tu mashahidi.

2. Mgogoro na serikali kwani amekuwa mkosoaji mkuu

3. Mgogoro na maadui ndani ya chama hasa kuelekea mbio za urais 2020.

Kwa mazingira haya ni vigumu sana kubashiri ni nani hasa alitaka kumuua ndugu Tundu Lissu.

Nawasihi tuwe wavumilivu na wenye subra tuache ushabiki na ukada kwa suala linalohusu maisha ya mtu.

Mwisho naona kama kweli serikali itaunda tume ya kimahakama inaweza kuleta mwarobaini dhidi ya vitendo vya kidhalimu vinavyoota mizizi kila kukicha, hatujui kesho itatokea kwa nani.

Mungu ibariki Tanzania
Ndizo anazoziita Lissu PROFESSORIAL RUBISH!!!
 
viongozi wetu wa ajabu sana sijui niyape majina gani. naskia hasira sana mimi
 
Amani iwe nanyi, tetesi nilisozipata zinatabiri kwamba Serikali imeshaunda task force kuchunguza na kubaini wahusika wa vitendo vya utekaji na utesaji dhidi ya raia na huenda ikaundwa tume huru ya kimahakama kuchunguza shambulio la Dodoma dhidi ya Lissu.

Kwa ushahidi wa mazingira kupitia vyanzo vya habari kama magazeti na mitandao ya kijamii ndugu Tundu Lissu ana mgogoro wa malumbano na wapinzani watatu ambao ni,

1. Mgogoro na wawekezaji wote tu mashahidi.

2. Mgogoro na serikali kwani amekuwa mkosoaji mkuu

3. Mgogoro na maadui ndani ya chama hasa kuelekea mbio za urais 2020.

Kwa mazingira haya ni vigumu sana kubashiri ni nani hasa alitaka kumuua ndugu Tundu Lissu.

Nawasihi tuwe wavumilivu na wenye subra tuache ushabiki na ukada kwa suala linalohusu maisha ya mtu.

Mwisho naona kama kweli serikali itaunda tume ya kimahakama inaweza kuleta mwarobaini dhidi ya vitendo vya kidhalimu vinavyoota mizizi kila kukicha, hatujui kesho itatokea kwa nani.

Mungu ibariki Tanzania
Amani iwe nanyi, tetesi nilisozipata zinatabiri kwamba Serikali imeshaunda task force kuchunguza na kubaini wahusika wa vitendo vya utekaji na utesaji dhidi ya raia na huenda ikaundwa tume huru ya kimahakama kuchunguza shambulio la Dodoma dhidi ya Lissu.

Kwa ushahidi wa mazingira kupitia vyanzo vya habari kama magazeti na mitandao ya kijamii ndugu Tundu Lissu ana mgogoro wa malumbano na wapinzani watatu ambao ni,

1. Mgogoro na wawekezaji wote tu mashahidi.

2. Mgogoro na serikali kwani amekuwa mkosoaji mkuu

3. Mgogoro na maadui ndani ya chama hasa kuelekea mbio za urais 2020.

Kwa mazingira haya ni vigumu sana kubashiri ni nani hasa alitaka kumuua ndugu Tundu Lissu.

Nawasihi tuwe wavumilivu na wenye subra tuache ushabiki na ukada kwa suala linalohusu maisha ya mtu.

Mwisho naona kama kweli serikali itaunda tume ya kimahakama inaweza kuleta mwarobaini dhidi ya vitendo vya kidhalimu vinavyoota mizizi kila kukicha, hatujui kesho itatokea kwa nani.

Mungu ibariki Tanzania
serikali hiihii au serikali inayokuja?
 
Amani iwe nanyi, tetesi nilisozipata zinatabiri kwamba Serikali imeshaunda task force kuchunguza na kubaini wahusika wa vitendo vya utekaji na utesaji dhidi ya raia na huenda ikaundwa tume huru ya kimahakama kuchunguza shambulio la Dodoma dhidi ya Lissu.

Kwa ushahidi wa mazingira kupitia vyanzo vya habari kama magazeti na mitandao ya kijamii ndugu Tundu Lissu ana mgogoro wa malumbano na wapinzani watatu ambao ni,

1. Mgogoro na wawekezaji wote tu mashahidi.

2. Mgogoro na serikali kwani amekuwa mkosoaji mkuu

3. Mgogoro na maadui ndani ya chama hasa kuelekea mbio za urais 2020.

Kwa mazingira haya ni vigumu sana kubashiri ni nani hasa alitaka kumuua ndugu Tundu Lissu.

Nawasihi tuwe wavumilivu na wenye subra tuache ushabiki na ukada kwa suala linalohusu maisha ya mtu.

Mwisho naona kama kweli serikali itaunda tume ya kimahakama inaweza kuleta mwarobaini dhidi ya vitendo vya kidhalimu vinavyoota mizizi kila kukicha, hatujui kesho itatokea kwa nani.

Mungu ibariki Tanzania
NAHISI HARUFU YA MALIWATO CHAFU YA SHIMO
 
Amani iwe nanyi, tetesi nilisozipata zinatabiri kwamba Serikali imeshaunda task force kuchunguza na kubaini wahusika wa vitendo vya utekaji na utesaji dhidi ya raia na huenda ikaundwa tume huru ya kimahakama kuchunguza shambulio la Dodoma dhidi ya Lissu.

Kwa ushahidi wa mazingira kupitia vyanzo vya habari kama magazeti na mitandao ya kijamii ndugu Tundu Lissu ana mgogoro wa malumbano na wapinzani watatu ambao ni,

1. Mgogoro na wawekezaji wote tu mashahidi.

2. Mgogoro na serikali kwani amekuwa mkosoaji mkuu

3. Mgogoro na maadui ndani ya chama hasa kuelekea mbio za urais 2020.

Kwa mazingira haya ni vigumu sana kubashiri ni nani hasa alitaka kumuua ndugu Tundu Lissu.

Nawasihi tuwe wavumilivu na wenye subra tuache ushabiki na ukada kwa suala linalohusu maisha ya mtu.

Mwisho naona kama kweli serikali itaunda tume ya kimahakama inaweza kuleta mwarobaini dhidi ya vitendo vya kidhalimu vinavyoota mizizi kila kukicha, hatujui kesho itatokea kwa nani.

Mungu ibariki Tanzania
Hizo ni mbinu tuu za kudanganyia kuwa serikali haijui kinachoendelea yaani inajitoa ili mataifa ya nche yasiishuku kama ndo inausika na kinachoendelea
 
Kusema tume huru ni maneno tu. Sote tunajua mtu moja kaiweka mahakama na bunge chini yake. Kua huru ni maneno tu ya kwenye karatasi ila vitendo ni tofauti kabisa.

Jambo la Lissu silaumu mtu wala serikali maana yaweza kua yeyote yule, haya mambo muda mwingine unakuta ni mtu tofauti kabisa kafanya kwa nia flani. Ila kuhusu uhuru hakuna uhuru zaidi ya maneno tu. Kila kitu kinamzunguka mtu moja sa hivi kwa uoga uliogeuka kuitwa uzalendo

Mazingira ya kilichomtokea yaanaacha mashaka mengi sana na kuleta hisia kuelekea upande fulani. Lissu alilalamika kufuatwa tangu Dar es Salaaam. Kabla ya hapo alilalamika hadharani mchane kweupe akitaja namba za gari lililokuwa linamfuatilia na kutaja majina fulani. Hakuna yeyote aliyeongea kukanusha kuhusika kwake. Hili linapotokea akiwaa kwenye mazingira hata ya bunge inaleta maswali mengi sana fikirishi. kwa mazingira ya tukio kwa kuangalia mlolongo wa matukio ni vigumu kulitoa tukio la mwisho kwa kuliangalia peke yake.
 
hahahahahah!!!!!!!! wanatuchora tu. wanafikiri sisi ni mabashite hatuelewi kinacho endelea
 
Wewe nadhani kuna kitu unapungukiwa.

Lisu ana mgogoro gani na chama? Unabwabwaja kuhusu Zito, huku huelewi unachoongea.

Zito aliingia kwenye mgogoro kwanza kwa kukisaliti chama. Kufanya vikao na maofisa wa CCM na serikali bila ya taarifa yoyote kwa chama kipindi cha kampeni. Hakumfanya kampeni mgombea wa Urais wa chama. Alikuwa akifanya vikao na mawasiliano mengi na watu ambao ni maadui wa chama, na hakuweza kueleza vikao hivyo vilikuwa vinahusu nini?

Zito aliamua kwenda kinyume cha maamuzi ya chama yaliyokuwa yamefanywa kwenye vikao. Wakati chama kilipoamua kuwa hakimtambui JK, yeye aliamua kumtambua.

Baadaye akafanya harakati za chini kwa chini nje ya utaratibu wa chama, kutaka kupindua uongozi wa chama. Pamoja na hayo yote, chama kilimivumilia. Hata kilipoamua kufanya kikao juu ya kuamua hatima yake, aliamua kujiuzulu mwenyewe.

Hata baada ya kujiuzulu, nani alimdhuru Zito. Kuna wehu wa chama chenu wakaanza kutengeneza hadithi eti Zito amewekewa sumu lakini aliwaumbua alipokataa kuwa hakuwekewa sumu. Na hiyo ilitokana na akili ndogo za wana-Lumumba kutokuelewa maana ya food poisoning wakatafsiri kuwa aliwekewa sumu kwenye chakula. Tatizo la ujinga, ambalo hata TWAWEZA limigundua kuhusiana na wapenzi/wafuasi wa CCM (wengi wao ni wale wenye elimu na uelewa mdogo).

Na hili unalielezeaje msemaji wa chama????...
 
Back
Top Bottom