Serikali kuwajibu Askofu Gwajima na Polepole ni kama kubwekea kila mbwa barabarani

Serikali kuwajibu Askofu Gwajima na Polepole ni kama kubwekea kila mbwa barabarani

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Enemies,

Kuna msemo unasema kwamba kumrushia jiwe kila mbwa anayebweka barabaran huwezi kufika safari yako,
Vipo vitu vya msingi vya kulumbana na Serikali,kama hivi ongezeko la gharama za tozo za miamala, kupanda mafuta na gesi,labda Tume Huru ya Uchaguzi na kadhalika.

Lakini kukaa na kulumbana kwa ishu ya chanjo ya Corona na ili hali ni ishu ambayo umeshaelezwa kuwa ni hiyari na siyo lazima ni wendawazimu wa hali ya juu sana.

Polepole na Gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua, kubweka wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya Corona ni kuonesha kiwango chao cha ujinga na ukaidi usiyo na maana.

Hawajalazimishwa kuchanjwa, sasa kelele za nini?
 
Hayati JK alisema upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM yenyewe. Mungu wa mbinguni asaidie kupitia chanjo ya corona unabii huu ukatimie sasa kuwa upinzani wa kweli nasi wa nguvu ya soda or moto wa mabua tuushuhudie.

Kiongozi wa wote wanaochanja na wasio baada ya kusema chanjo ni hiari asingetakiwa aende mbele na kuchanja hadharani huku akiwahimiza wa chini yake kumunga mkono. Angetakiwa iwe siri yake ima kachanja au la?

Kama wewe umechanja na ukatangaza jua fika huna tena uhalali wa kuwasemea wasio chanja kuhusu hiyo chanjo. Hivyo wale wasiochanja watataka nao wawe na kiongozi wao wa kuwasemea. Kwa sababu hiyo umewagawa watu wako wewe mwenyewe.
 
Friends and Enemies,

Kuna msemo unasema kwamba kumrushia jiwe kila MBWA anaebweka barabaran huwez kufika safar yako,
Vipo vitu vya msingi vya kulumbana na serikali,kama hivi ongezeko la gharama za tozo za miamala,kupanda mafuta na gesi,labda tume huru ya uchaguz na kadhalika,

Lakin kukaa na kulumbana kwa ishu ya chanjo ya corona na Ili hali ni ishu ambayo umeshaelezwa kuwa ni hiyar na siyo lazima ni wendawazim wa hali ya juu Sana,

Pole pole na gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua,KUBWEKA wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya corona ni kuonesha kiwango Chao Cha ujinga na ukaidi usiyo na maana,

Hawajalazimishwa kuchanjwa,sasa kelele za nini??
Mbona umeishaijibu
 
Friends and Enemies,

Kuna msemo unasema kwamba kumrushia jiwe kila MBWA anaebweka barabaran huwez kufika safar yako,
Vipo vitu vya msingi vya kulumbana na serikali,kama hivi ongezeko la gharama za tozo za miamala,kupanda mafuta na gesi,labda tume huru ya uchaguz na kadhalika,

Lakin kukaa na kulumbana kwa ishu ya chanjo ya corona na Ili hali ni ishu ambayo umeshaelezwa kuwa ni hiyar na siyo lazima ni wendawazim wa hali ya juu Sana,

Pole pole na gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua,KUBWEKA wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya corona ni kuonesha kiwango Chao Cha ujinga na ukaidi usiyo na maana,

Hawajalazimishwa kuchanjwa,sasa kelele za nini??
Pole pole na gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua,KUBWEKA wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya corona ni kuonesha kiwango Chao Cha ujinga na ukaidi usiyo na maana,

Hawajalazimishwa kuchanjwa,sasa kelele za nini??
 
Friends and Enemies,

Kuna msemo unasema kwamba kumrushia jiwe kila MBWA anaebweka barabaran huwez kufika safar yako,
Vipo vitu vya msingi vya kulumbana na serikali,kama hivi ongezeko la gharama za tozo za miamala,kupanda mafuta na gesi,labda tume huru ya uchaguz na kadhalika,

Lakin kukaa na kulumbana kwa ishu ya chanjo ya corona na Ili hali ni ishu ambayo umeshaelezwa kuwa ni hiyar na siyo lazima ni wendawazim wa hali ya juu Sana,

Pole pole na gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua,KUBWEKA wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya corona ni kuonesha kiwango Chao Cha ujinga na ukaidi usiyo na maana,

Hawajalazimishwa kuchanjwa,sasa kelele za nini??
Hapa kwa kweli umeandika utafikiri wewe si mjinga! Mtu kutoa msimamo katika sula lenye option si uchawa! Ni sawa tu na mtu aliyesema nakubali chanjo, na mwingine akasema sikubali chanjo! Hapo uchawa uko wapi? Umeandika utafikiri wew si mjinga kabisa yaani! Kukataa pia ni hiari Mkuu!
 
Pole pole na gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua,KUBWEKA wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya corona ni kuonesha kiwango Chao Cha ujinga na ukaidi usiyo na maana,

Hawajalazimishwa kuchanjwa,sasa kelele za nini??
Kwa akili yako, wewe unadhani kila alichokuwa akikisimamia Pombe ni pombe? we vipi, mbona unakuwa mshamba wewe, kachanje na utulie zako!
 
Hapa kwa kweli umeandika utafikiri wewe si mjinga! Mtu kutoa msimamo katika sula lenye option si uchawa! Ni sawa tu na mtu aliyesema nakubali chanjo, na mwingine akasema sikubali chanjo! Hapo uchawa uko wapi? Umeandika utafikiri wew si mjinga kabisa yaani! Kukataa pia ni hiari Mkuu!
chanjo ni hiali
 
Sema anawaogopa unadhani hawa WANGETHUBUTU kumpinga dhalimu mwendazake hadharani!?
Friends and Enemies,

Kuna msemo unasema kwamba kumrushia jiwe kila MBWA anaebweka barabaran huwez kufika safar yako,
Vipo vitu vya msingi vya kulumbana na serikali,kama hivi ongezeko la gharama za tozo za miamala,kupanda mafuta na gesi,labda tume huru ya uchaguz na kadhalika,

Lakin kukaa na kulumbana kwa ishu ya chanjo ya corona na Ili hali ni ishu ambayo umeshaelezwa kuwa ni hiyar na siyo lazima ni wendawazim wa hali ya juu Sana,

Pole pole na gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua,KUBWEKA wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya corona ni kuonesha kiwango Chao Cha ujinga na ukaidi usiyo na maana,

Hawajalazimishwa kuchanjwa,sasa kelele za nini??
 
Wewe mbona unawajibu, wewe umeshindwa kuwapotezea kwanini unataka wengine wafanye kilichokushinda.

Mimi ni mtu mdogo Sana ukilinganisha na mamlaka ya dola na chama,

Na hawa wanataka attention kutoka kwa wenye mamlaka,dawa yao ni kuwaachia karma iwaunguze
 
Kwenye hiyari, anayekataa na anayekubali wpte wapo sahihi...

Na kuna namna nyingi ambazo watu watazitumia ama kukataa au kukubali kulingana na utashi wao...
 
Hapa kwa kweli umeandika utafikiri wewe si mjinga! Mtu kutoa msimamo katika sula lenye option si uchawa! Ni sawa tu na mtu aliyesema nakubali chanjo, na mwingine akasema sikubali chanjo! Hapo uchawa uko wapi? Umeandika utafikiri wew si mjinga kabisa yaani! Kukataa pia ni hiari Mkuu!


Kuna vitu viwili,kutoa msimamo wa kutochanja,na kuhamasisha watu wasichanje,chanjo hii dunia yote ni hiyar siyo lazima,sasa kama wataalam wa afya wameshasimama na kuwapa elimu wananchi kuhusu umuhim wa chanjo Ili kuokoa maisha ya watu,wao kwann wasimame kupinga?
 
Kwenye hiyari, anayekataa na anayekubali wpte wapo sahihi...

Na kuna namna nyingi ambazo watu watazitumia ama kukataa au kukubali kulingana na utashi wao...

Ni jukumu la serikali kujali afya ya wananchi wake na kuhamasisha Tiba,

Hao wanaopinga chanjo Sawa ni hiyari yao,sasa kwann kila siku gwajima kanisani na pole pole mitandaon wanakesha kuhamasisha watu wasichanje?wameshatoa msimamo wao wameeleweka,sasa hawajatosheka Wana Nina gan?
 
Friends and Enemies,

Kuna msemo unasema kwamba kumrushia jiwe kila MBWA anaebweka barabaran huwez kufika safar yako,
Vipo vitu vya msingi vya kulumbana na serikali,kama hivi ongezeko la gharama za tozo za miamala,kupanda mafuta na gesi,labda tume huru ya uchaguz na kadhalika,

Lakin kukaa na kulumbana kwa ishu ya chanjo ya corona na Ili hali ni ishu ambayo umeshaelezwa kuwa ni hiyar na siyo lazima ni wendawazim wa hali ya juu Sana,

Pole pole na gwajima ni machawa wa mwendazake hakuna asiejua,KUBWEKA wanakobweka kuhusu suala la chanjo ya corona ni kuonesha kiwango Chao Cha ujinga na ukaidi usiyo na maana,

Hawajalazimishwa kuchanjwa,sasa kelele za nini??
Serikali haijawajibu
 
Kuna vitu viwili,kutoa msimamo wa kutochanja,na kuhamasisha watu wasichanje,chanjo hii dunia yote ni hiyar siyo lazima,sasa kama wataalam wa afya wameshasimama na kuwapa elimu wananchi kuhusu umuhim wa chanjo Ili kuokoa maisha ya watu,wao kwann wasimame kupinga?
Hajapinga chanjo, amesema yeye hachanjwi, na wala hajazuia mtu ukiwemo wewe na Mimi kuchanjwa! Heshimu upande aliyochagua brother!
 
Ni jukumu la serikali kujali afya ya wananchi wake na kuhamasisha Tiba,

Hao wanaopinga chanjo Sawa ni hiyari yao,sasa kwann kila siku gwajima kanisani na pole pole mitandaon wanakesha kuhamasisha watu wasichanje?wameshatoa msimamo wao wameeleweka,sasa hawajatosheka Wana Nina gan?
Wewe ni mkristu? Kama sio mkristu mahubiri ya kanisani kwake yanakushughulisha vipi wakati ni suala la kiroho linaloishia madhabahuni kwake? Hajawahi kuitisha press kusema hayo bali ni sehemu ya ufunuo anaoutoa kwa waamini wake
 
Ni jukumu la serikali kujali afya ya wananchi wake na kuhamasisha Tiba,

Hao wanaopinga chanjo Sawa ni hiyari yao,sasa kwann kila siku gwajima kanisani na pole pole mitandaon wanakesha kuhamasisha watu wasichanje?wameshatoa msimamo wao wameeleweka,sasa hawajatosheka Wana Nina gan?

Hao wanaopinga na kupiga kampeni nao wana sababu zao ambazo wameziweka wazi bila shaka...na wanaona ni vyema wakawashirikisha wengine ili dhamira zao zisije wasuta siku moja endapo kweli kuna madhara kwenye chanjo zinazotolewa

Na pia sio wa kwanza kupinga kuchanjwa, huko kwenye nyingine wapo kina Gwajima wengine wengi tu

Kumbuka serikali hii si zamani sana ilikuwa na msimamo hasi juu ya chanjo na ndipo wakazaliwa hao kina Gwajima na wengineo
 
Ivi hiyo Johnson vaccine inakinga hata delta virus?
 
Back
Top Bottom