MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,069
- 713
Very wise response, kudosWewe mbona unawajibu, wewe umeshindwa kuwapotezea kwanini unataka wengine wafanye kilichokushinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very wise response, kudosWewe mbona unawajibu, wewe umeshindwa kuwapotezea kwanini unataka wengine wafanye kilichokushinda.
Lakini ukipata madhara usiiulize hiyo serikali inayosema chanjo ni hiariKuna vitu viwili,kutoa msimamo wa kutochanja,na kuhamasisha watu wasichanje,chanjo hii dunia yote ni hiyar siyo lazima,sasa kama wataalam wa afya wameshasimama na kuwapa elimu wananchi kuhusu umuhim wa chanjo Ili kuokoa maisha ya watu,wao kwann wasimame kupinga?
Wewe ni mkristu? Kama sio mkristu mahubiri ya kanisani kwake yanakushughulisha vipi wakati ni suala la kiroho linaloishia madhabahuni kwake? Hajawahi kuitisha press kusema hayo bali ni sehemu ya ufunuo anaoutoa kwa waamini wake
Hajapinga chanjo, amesema yeye hachanjwi, na wala hajazuia mtu ukiwemo wewe na Mimi kuchanjwa! Heshimu upande aliyochagua brother!