Serikali kuwajibu Askofu Gwajima na Polepole ni kama kubwekea kila mbwa barabarani

Lakini ukipata madhara usiiulize hiyo serikali inayosema chanjo ni hiari
 
Wewe ni mkristu? Kama sio mkristu mahubiri ya kanisani kwake yanakushughulisha vipi wakati ni suala la kiroho linaloishia madhabahuni kwake? Hajawahi kuitisha press kusema hayo bali ni sehemu ya ufunuo anaoutoa kwa waamini wake

Mimi siyo mkiristo mkuu,

Sasa gwajima kanisani anahubiri au anatoa elimu yuu ya Corona??

Yeye ni mchungaji au daktar
 
Hajapinga chanjo, amesema yeye hachanjwi, na wala hajazuia mtu ukiwemo wewe na Mimi kuchanjwa! Heshimu upande aliyochagua brother!

Hajasema kuwa yeye hachanji,anahamasisha watu wasichanje

Kama angekuwa anasema kuwa yeye hachanji nan angehangaika na yeye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…