Serikali kuweni makini na rushwa na ufuatiliaji

Serikali kuweni makini na rushwa na ufuatiliaji

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Rushwa inarudi kwa kasi Tanzania na inasikitisha sana. Serikali na viongozi wakuu kama wenyewe sio wala rushwa inabidi wafanye ufuatiliaji wa vitu vya wananchi. Nitatoa mifano hapa

1. Kama ni mfanyakazi wa serikali tujiulize ni kwanini card za NIDA zinachelewa? Ukiangalia vizuri hakuna tatizo lolote la card lakini watu wa NIDA wana zibania makusudi ili ukienda kuomba au kuulizia card yako utoe chochote. Tatizo kubwa viongozi wa juu wa NIDA na wenyewe ni wala rushwa wakubwa. Lakini cha ajabu viongozi wanaona hili na kunyamaza

2. Mabasi ya mwendo kasi kwa makusudi watu ambao wamewekwa kusimamia wanatafuta njia za kuharibu mfumo wa kutumia cad ili waweze kulipisha watu pesa bila kadi na kuweka pesa mifukoni kwao. Imefika sehemu serikali inataka kuweka kampuni ya nje kwasababu tu ya rushwa na mfumo wa rushwa kwenye haya mabasi!. Mpaka waziri mkuu anajua hili lakini bado ujinga unaendelea

3. Kwenye vibali vya umiliki wa viwanja yaani wamekuja na kisingizio eti hawana makaratasi maalumu ya vibali. Hivyo hupewi lakini ukitoa pesa tu unashangaa unapewa. Hivi ni vitu ambavyo vinafungiwa macho lakini ni muhimu sana wa wananchi na maendeleo.

Kuna barabara ya Arusha ya bypass watu hawaitumii kwasababu ya rushwa kubwa ya traffic na wameweka matuta kila mahali. Tatizo traffic wanapewa budget na wakubwa wao ya makusanyo ya rushwa kila siku. Serikali cha ajabu wanafungia macho vitu kama hivi. Mimi wasiwasi wangu mkubwa kwa serikali hii ni kurudi kasi kwa rushwa
 
Haya mambo ya rushwa ni athari za kuharibu utawala bora kipindi cha awamu ya 5. Kipindi hicho taasisi ya kupambana na rushwa ilifanya kazi kwa kutii amri ya mtu anayefoka na sio sheria zitakavyo. Tuliona hadi taasisi ya kupambana na rushwa ikigoma kupokea ushahidi wa rushwa kwa sababu za kisiasa. Matokeo yake huyo mtu hayupo, na aliyepo hatawali kwa kufoka, hivyo hiyo taasisi imebaki kusubiri mfokaji toka juu, na asipofoka au kuwaagiza wakamkomoe mtu, na wenyewe wanabaki kusubiri mshahara tu.
 
Mahakamani ni moto. Majaji mahakama kuu wanakula kwa kwenda mbele
 
Ni lini rushwa ilipungua Tz?.
 
Rushwa inarudi kwa kasi Tanzania na inasikitisha sana. Serikali na viongozi wakuu kama wenyewe sio wala rushwa inabidi wafanya ufuatiliaji wa vitu vya wananchi. Nitatoa mifano hapa

1. Kama ni mfanyakazi wa serikali tujiulize ni kwanini card za NIDA zinachelewa? Ukiangalia vizuri hakuna tatizo lolote la card lakini watu wa NIDA wana zibania makusudi ili ukienda kuomba au kuulizia card yako utoe chochote. Tatizo kubwa viongozi wa juu wa NIDA na wenyewe ni wala rushwa wakubwa. Lakini cha ajabu viongozi wanaona hili na kunyamaza

2. Mabasi ya mwendo kasi kwa makusudi watu ambao wamewekwa kusimamia wanatafuta njia za kuharibu mfumo wa kutumia cad ili waweze kulipisha watu pesa bila kadi na kuweka pesa mifukoni kwao. Imefika sehemu serikali inataka kuweka kampuni ya nje kwasababu tu ya rushwa na mfumo wa rushwa kwenye haya mabasi!. Mpaka waziri mkuu anajua hili lakini bado ujinga unaendelea

3. Kwenye vibali vya umiliki wa viwanja yaani wamekuja na kisingizio eti hawana makaratasi maalumu ya vibali. Hivyo hupewi lakini ukitoa pesa tu unashangaa unapewa. Hivi ni vitu ambavyo vinafungiwa macho lakini ni muhimu sana wa wananchi na maendeleo.

Kuna barabara ya Arusha ya bypass watu hawaitumii kwasababu ya rushwa kubwa ya traffic na wameweka matuta kila mahali. Tatizo traffic wanapewa budget na wakubwa wao ya makusanyo ya rushwa kila siku. Serikali cha ajabu wanafungia macho vitu kama hivi. Mimi wasiwasi wangu mkubwa kwa serikali hii ni kurudi kasi kwa rushwa
Rushwa 4life, wala tangu uhuru hatujawah ona jitihada za dhati kupambana na rushwa. Jus' business az usually.
 
Rushwa inarudi kwa kasi Tanzania na inasikitisha sana. Serikali na viongozi wakuu kama wenyewe sio wala rushwa inabidi wafanye ufuatiliaji wa vitu vya wananchi. Nitatoa mifano hapa

1. Kama ni mfanyakazi wa serikali tujiulize ni kwanini card za NIDA zinachelewa? Ukiangalia vizuri hakuna tatizo lolote la card lakini watu wa NIDA wana zibania makusudi ili ukienda kuomba au kuulizia card yako utoe chochote. Tatizo kubwa viongozi wa juu wa NIDA na wenyewe ni wala rushwa wakubwa. Lakini cha ajabu viongozi wanaona hili na kunyamaza

2. Mabasi ya mwendo kasi kwa makusudi watu ambao wamewekwa kusimamia wanatafuta njia za kuharibu mfumo wa kutumia cad ili waweze kulipisha watu pesa bila kadi na kuweka pesa mifukoni kwao. Imefika sehemu serikali inataka kuweka kampuni ya nje kwasababu tu ya rushwa na mfumo wa rushwa kwenye haya mabasi!. Mpaka waziri mkuu anajua hili lakini bado ujinga unaendelea

3. Kwenye vibali vya umiliki wa viwanja yaani wamekuja na kisingizio eti hawana makaratasi maalumu ya vibali. Hivyo hupewi lakini ukitoa pesa tu unashangaa unapewa. Hivi ni vitu ambavyo vinafungiwa macho lakini ni muhimu sana wa wananchi na maendeleo.

Kuna barabara ya Arusha ya bypass watu hawaitumii kwasababu ya rushwa kubwa ya traffic na wameweka matuta kila mahali. Tatizo traffic wanapewa budget na wakubwa wao ya makusanyo ya rushwa kila siku. Serikali cha ajabu wanafungia macho vitu kama hivi. Mimi wasiwasi wangu mkubwa kwa serikali hii ni kurudi kasi kwa rushwa

Bado nakumbushia hili
 
Back
Top Bottom