Moja ya wajibu mkubwa wa serikali ni kulinda na kudumisha usalama wa nchi. Usalama wa nchi huchangiwa kwa kiasi kikubwa na usalama wa chakula (upatikanaji wa chakula kwa bei inayohimilika).
Kinyume chake nchi inaweza kuingia ktk machafuko. Mfano, serikali ya Al Bashir wa Sudan iliondolewa madarakani kwasabb ya bei isiyohimilka ya mkate tu.
Serikali inapaswa kufanya nn ili kulinda usalama wa chakula?
Serikali makini inapaswa kujenga maghala makubwa ya kuhifadhia chakula kila kitongoji, na kila mtaa. Kisha kununua mazao hayo kwa bei ya sokoni toka kwa wakulima na kuyahifadhi.
Mataifa makubwa kwa mfano, mpk Sasa bado yana nafaka iliyonunuliwa na kuhifadhiwa tangu mwaka 2000. Ndiyo maana mnaona Ukraine Ina mwaka wa pili Sasa iko vitani lkn husikii kilio cha njaa. Hapa kwetu serikali Ina maghala ya kuhifadhi tani laki mbili za nafaka nchi nzima. Tani hizi we zinazotosheleza mahitaji ya nchi kwa mwezi mmoja tu. What a joke!!
Kwahiyo serikali imetumia njia ya mkato ili kujilinda kwa kuwaumiza wakulima. No! No! No!. Njia hii itaongeza idadi ya wadangaji, machawa na wanaobeti mjini. Kwasabb wakulima wanateseka halafu wanaocheza pull na kudanga mjini wanapata mazao kwa bei ya bure huku mkulima akipata hasara. Basi nao bora wakadange na kubeti.
Serikali jengeni maghala makubwa kila kitongoji na kila mtaa. Acheni kuonea wakulima.!¹
Kinyume chake nchi inaweza kuingia ktk machafuko. Mfano, serikali ya Al Bashir wa Sudan iliondolewa madarakani kwasabb ya bei isiyohimilka ya mkate tu.
Serikali inapaswa kufanya nn ili kulinda usalama wa chakula?
Serikali makini inapaswa kujenga maghala makubwa ya kuhifadhia chakula kila kitongoji, na kila mtaa. Kisha kununua mazao hayo kwa bei ya sokoni toka kwa wakulima na kuyahifadhi.
Mataifa makubwa kwa mfano, mpk Sasa bado yana nafaka iliyonunuliwa na kuhifadhiwa tangu mwaka 2000. Ndiyo maana mnaona Ukraine Ina mwaka wa pili Sasa iko vitani lkn husikii kilio cha njaa. Hapa kwetu serikali Ina maghala ya kuhifadhi tani laki mbili za nafaka nchi nzima. Tani hizi we zinazotosheleza mahitaji ya nchi kwa mwezi mmoja tu. What a joke!!
Kwahiyo serikali imetumia njia ya mkato ili kujilinda kwa kuwaumiza wakulima. No! No! No!. Njia hii itaongeza idadi ya wadangaji, machawa na wanaobeti mjini. Kwasabb wakulima wanateseka halafu wanaocheza pull na kudanga mjini wanapata mazao kwa bei ya bure huku mkulima akipata hasara. Basi nao bora wakadange na kubeti.
Serikali jengeni maghala makubwa kila kitongoji na kila mtaa. Acheni kuonea wakulima.!¹